viongozi wetu wanaendelea kupeana shahada

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, abaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA, DkT. Ali Mohamed Shein, akimtunuku shahada ya uzamivu ya heshima ya chuo kikuu cha Taifa SUZA Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume,wakati wa sherehe za mahafali ya 7 ya chuo hicho zilizofanyika kwenye viwanja vya Mnazi mmoja Mjini Unguja.mia
 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, abaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA, DkT. Ali Mohamed Shein, akimtunuku shahada ya uzamivu ya heshima ya chuo kikuu cha Taifa SUZA Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume,wakati wa sherehe za mahafali ya 7 ya chuo hicho zilizofanyika kwenye viwanja vya Mnazi mmoja Mjini Unguja.mia
 
huyu mlevi anasoma saa ngapi mpaka apewe hii shahada au ni shahada ya ulevi na kufuga mustachi
 
Shein anajisahihisha hapo, kuhudhuria kikao cha baraza la mawaziri wa serikali ya Kikwete kunamtesa na hii ndo chombeza ya kufuta makosa
 
Back
Top Bottom