figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, abaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA, DkT. Ali Mohamed Shein, akimtunuku shahada ya uzamivu ya heshima ya chuo kikuu cha Taifa SUZA Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume,wakati wa sherehe za mahafali ya 7 ya chuo hicho zilizofanyika kwenye viwanja vya Mnazi mmoja Mjini Unguja.mia