Hivi, viongozi wanavyosema kila siku vijana wajiajiri, kuna hata mmoja anaesema hayo, amejiajiri?
Mie, nafikiri wanatumia neno kujiajiri vibaya, mfano: Juzi katambi kasema vijana jitoleeni, msisubirie kuajiriwa, yeye anajitolea?
Mie, nadhani sera ya ajira ibadilike watumishi wa umma wawe na mkataba wa kazi kwa miaka 10 tu, inatosha Sana! Italeta ufanisi kazini, na kujiajiri watu watajiajiri.
Lakini, Leo kijana anaamua kujiajiri anafungua kibanda chake na mtaji wa 40k, anaekuja mtu alieajiriwa anampiga na kumnyang'anya Kama taifa tunakwama sana.
Mie, nafikiri wanatumia neno kujiajiri vibaya, mfano: Juzi katambi kasema vijana jitoleeni, msisubirie kuajiriwa, yeye anajitolea?
Mie, nadhani sera ya ajira ibadilike watumishi wa umma wawe na mkataba wa kazi kwa miaka 10 tu, inatosha Sana! Italeta ufanisi kazini, na kujiajiri watu watajiajiri.
Lakini, Leo kijana anaamua kujiajiri anafungua kibanda chake na mtaji wa 40k, anaekuja mtu alieajiriwa anampiga na kumnyang'anya Kama taifa tunakwama sana.