Simchezo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 445
- 345
Wana JF; Nimekuwa nafuatilia mfululizo wa habari zinazomuhusu Shibuda na yale ambayo anendelea kusema hadharani pi nawafuatilia viongozi wa BAVICHA hasa Heche na huyu Juliana Shonza jinsi wanavyobishana hadharani, Nabaki najiuliza hivi viongozi wakuu mpo wapi???? ili mtoe tamko rasmi la chama?? mjue hii ni hatari kwa chama, msifikiri kwamba cdm itapendwa muda wote hata ikifanya madudu, Amkeni huko mlipo!!!