Viongozi wa Saudia na Iran wajadili vita na kusema wako pamoja na Palestina

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,199
10,931
Mwana mfalame wa Saudia Mohammed Salman na raisi wa Iran Brahimi RAaisi wamezungumza kwa simu kwa mara ya mwanzo hapo juzi na kukubaiana kuiunga mkono Palestina katika madai yao.
Mohammad Jamshidi amabaye ni naibu wa masuala ya mambo ya nje aliandika kwenye akaunti yake ya X kuwa mazungumzo hayo yaliyochukua dakika 45 yalisisitiza udugu wao na Palestina na kumalizia na tamko kwamba siasa za Marekani kuiunga mkono Israel katika mashariki ya kati zinaharibu hali za hewa za kisiasa za jimbo hilo.

Iranian president, Saudi crown prince discuss Israel-Hamas war

 
Peleka sasa vijana Gaza wakatetee nafsi za Watoto na Mama zao wanaouawa bila huruma na "taifa teule la Mungu" maneno tupu hayafanyi kazi

Nchi za kishenzi kama Marekani ziliundwa hivi hivi kwa kuua wenyeji
 
Peleka sasa vijana Gaza wakatetee nafsi za Watoto na Mama zao wanaouawa bila huruma na "taifa teule la Mungu" maneno tupu hayafanyi kazi

Nchi za kishenzi kama Marekani ziliundwa hivi hivi kwa kuua wenyeji

Wanatetea nafasi zipi?. Wakati wao ndio wachokozi. Waigwe tu.
 
Mwana mfalame wa Saudia Mohammed Salman na raisi wa Iran Brahimi RAaisi wamezungumza kwa simu kwa mara ya mwanzo hapo juzi na kukubaiana kuiunga mkono Palestina katika madai yao.
Mohammad Jamshidi amabaye ni naibu wa masuala ya mambo ya nje aliandika kwenye akaunti yake ya X kuwa mazungumzo hayo yaliyochukua dakika 45 yalisisitiza udugu wao na Palestina na kumalizia na tamko kwamba siasa za Marekani kuiunga mkono Israel katika mashariki ya kati zinaharibu hali za hewa za kisiasa za jimbo hilo.

Iranian president, Saudi crown prince discuss Israel-Hamas war

Nonsense. Kichapo kipo pale pale
 
Shekh, huo moto wa Israel kuna mwarabu wa kuusogelea kweli kwa sasa? Au wanajifariji tu!
 
Mwana mfalame wa Saudia Mohammed Salman na raisi wa Iran Brahimi RAaisi wamezungumza kwa simu kwa mara ya mwanzo hapo juzi na kukubaiana kuiunga mkono Palestina katika madai yao.
Mohammad Jamshidi amabaye ni naibu wa masuala ya mambo ya nje aliandika kwenye akaunti yake ya X kuwa mazungumzo hayo yaliyochukua dakika 45 yalisisitiza udugu wao na Palestina na kumalizia na tamko kwamba siasa za Marekani kuiunga mkono Israel katika mashariki ya kati zinaharibu hali za hewa za kisiasa za jimbo hilo.

Iranian president, Saudi crown prince discuss Israel-Hamas war

Maneno matupu bila matendo hayatoshi.

Wahakikishe wanasitisha Vita vikubwa na uharibifu vinavyokuja hapo Gaza
 
Back
Top Bottom