Viongozi wa kiroho wasipitishwe kugombea nafasi za kisiasa kwa Usalama wa Taifa

Interest

JF-Expert Member
Apr 11, 2015
3,434
7,055
Hili linaweza likawa wazo linalokera kwa baadhi ya watu, lakini tuna wajibu wa kutahadharishana.

Kuna hatari inatunyemelea.

Sasa ni kipindi cha kutangaza nia. Tayari baadhi ya viongozi wa kiroho wameanza kutangaza nia wakiwemo Nabii Shilla (CHADEMA) na Gwajima (CCM). Na huenda bado tutashuhudia wengine na wakubwa zaidi.

Lakini ni jukumu letu tuwakumbushe.

Vurugu nyingi nchini Nigeria, DRC, Cote D Ivoire, Central Africa na Sudan chanzo chake ni kuruhusu viongozi wa kiroho ambao wanaongoza taasisi za kiroho kugombea uongozi wa kisiasa.

Nchini Nigeria kwa mfano mpaka katiba imetamka kuwa uraisi utagombewa kwa zamu kati ya waislamu na wakristo. Hoja hii ilitolewa bungeni na kiongozi wa kiroho na ikapita!

Nchini DRC kanisa katoliki limekuwa ndio upinzani. Ndio wamiliki wa migodi mikubwa ya Bauxite.

Nchini Cote D Ivoire waasi waliotokea Boauke walikuwa wanaongozwa na kiongozi wa kiroho aliyekuwa mbunge. Vita ya uraisi nchini Cote D Ivoire ni kati ya waislamu na wakristo. Raisi Boigny yeye aliita Ivory Cost "the little Vatican" na akatumia wingi wa viongozi wa kiroho wa dhehebu lake kuidhinisha ujenzi wa "Saint Peter's Cathedral" kijijini kwake Youmoussokro kwa hela ya serikali.

Nchini Central Africa kuchinjana kulianza rasmi pale viongozi wa kiroho kwa kutumia wingi wao bungeni kupitisha sheria ya kuwahamisha waislamu wote kutoka mji mkuu. Utekelezeji wa sheria hii ulisimamiwa na Meya na uliambatana uchomaji nyumba za ibada. Tourag na Boko Haram nao wakaja nchini kulipiza kisasi!

Nchini Sudan viongozi wa kiroho kwa kuzingatia wingi wao bungeni wakawa wanawatesa wenzao. Mpaka wenzao wakaona ni vyema kujitenga.

Hakika huwezi kuruhusu viongozi wa kiroho kuwa wabunge au Rais na mkabaki salama. Lazima watatekeleza ya imani zao.

Tanzania hatukuwahi kuwa na viongozi wa taasisi za kiroho. Tuliwahi kuwa na mapadre na mashehe lakini hawakuwa viongozi wa taasisi. Licha ya hilo bado tulishuhudia watu wakifanya upendeleo. Mifano ipo na inajulikana.

Wale wote wanaoshangilia kina Gwajima kutangaza nia hawajui hatari iliyopo? Hivi CCM inakosa mtu asiye kiongozi wa taasisi ya kidini kugombea Kawe? Ni matumaini yangu CCM kitaona hatari hii. Hawatafuata mashabiki wanazi. Mustakabali wa nchi haufai hii mizaha.

Hivi kesho wakitokea wale maaskofu wanaoiunga mkono CHADEMA nchi itabaki salama? Au tuseme UAMSHO nao watangaze nia? Tutabaki kama Taifa?

Tuache mzaha kwenye hili suala.

Rai:
1. Makatibu wakuu wa vyama msiwapitishe hawa viongozi wa kiroho kuwakilisha vyama vyenu majimboni.

2. Msajili wa vyama vya siasa, hawa wakipitishwa na vyama basi viandikieni barua vya kuwaonya kuwa wagombea wao hawafai kwa Usalama wa Taifa.

3. Idara zinazoshughulika na Usalama wa Taifa zilishughulikie hili mapema.

Inawezekana kuna complications za kisheria, lakini busara lazima itumike.

Sehemu kubwa ya maandishi haya yanatokana na makala ya Diaspora, Yahya Msangi.
 
Katiba inatamka wazi kuwa kila mtu ana haki ya kupiga kura na kupigiwa kura akitaka bila kujali ni kiongozi wa dini au la

huwezi kuweka matabaka kuwa ohhh yule awe mpiga kura tu marufuku kupigiwa kura haikubaliki

Usalama wa taifa ni pamoja na kuwaruhusu kugombea
 
Katiba inatamka wazi kuwa kila mtu ana haki ya kupiga kura na kupigiwa kura akitaka bila kujali ni kiongozi wa dini au la

huwezi kuweka matabaka kuwa ohhh yule awe mpiga kura tu marufuku kupigiwa kura haikubaliki
Katiba pia imetamka kuwa vyama vya siasa vina haki ya kufanya mikutano ya hadhara, kukusanyika na kuzunguka kutoa elimu ya uraia kwa wananchi muda wowote, sehemu yoyote.
 
Gwajima ni kiongozi wa kiroho? Yule si anakikundi cha wafuasibtu anaowaita familia yake. Hilo kanisa la Gwajima unaweza kuliita taasisi in any how?
 
Hapo sasa inategemea nimeamkaje ..
Unaweza omba kibali na nikakunyima vilevile.
Katiba pia imetamka kuwa vyama vya siasa vina haki ya kufanya mikutano ya hadhara, kukusanyika na kuzunguka kutoa elimu ya uraia kwa wananchi muda wowote, sehemu yoyote.
 
Gwajima ni kiongozi wa kiroho? Yule si anakikundi cha wafuasibtu anaowaita familia yake. Hilo kanisa la Gwajima unaweza kuliita taasisi in any how?
Amesajiliwa na huduma zake zimesajiliwa Ofisi ya Msajili wa taasisi za kidini pale Wizara ya Mambo ya Ndani.
 
Gwajima sio mtumishi wa kiroho nadhani maneno mengi navikwazo ni baada yakumuona Billionea shilla kachukua Form ili kulikomboa Taifa letu liloangamia muda mrefu.
 
Kumekuwepo wahuni, matapeli, walafi wenye tamaa ya mali na madaraka wanaotumia neno la Mungu kufikia malengo yao.

Hawa ndiyo hao wanaochanganya dini na siasa bila kujali mustakabali mwema wa taifa.

Uongozi wa kisiasa nao ulianza kubadilika pole pole kwa kuingiza watu waoga,wenye hila, wasiojiamini na ambao wanategemea dini, ukanda hata ukabila kujihakikishia madaraka.

Dalili zilianza kuonekana baada ya salamu za kisiasa kubadilishwa kuhusisha dini (Bwana Yesu asifiwe, tumsifu Yesu Kristo, Asalaam Aleykum, ...).

Yote hii inatokana na wapuuzi wachache kwenye siasa.

Inajulikana wazi kwamba siasa za siku hizi zina uovu, ghiliba, uzandiki na hata mauaji.

Kiongozi wa dini anayejinasibisha na siasa hizi, badala ya kutetea haki, ni hatari sana.
 
Kama tatizo lipo basi zaidi linasababishwa na ubinafsi wa hao wanaojitokeza kuomba hizo nafasi kwa vyama vyao, naamini wanatakiwa kuchagua moja wafuate, either dini au siasa, lakini sio kushika yote mawili.

Kuhusu mifano ya nchi zenye machafuko uliyoitoa haiendani na mazingira ya nchi yetu, hivyo vikundi vya waasi kwenye hizo nchi vinamiliki silaha na hicho ndicho kichocheo kikubwa zaidi cha vurugu, hapa kwetu hakuna yeyote kati ya hao watia nia anaemiliki silaha, hata waumini wao, na zaidi ni kosa la jinai kumiliki silaha bila kufuata utaratibu.
 
Hili linaweza likawa wazo linalokera kwa baadhi ya watu, lakini tuna wajibu wa kutahadharishana.

Kuna hatari inatunyemelea.

Sasa ni kipindi cha kutangaza nia. Tayari baadhi ya viongozi wa kiroho wameanza kutangaza nia wakiwemo Nabii Shilla (CHADEMA) na Gwajima (CCM). Na huenda bado tutashuhudia wengine na wakubwa zaidi.

Lakini ni jukumu letu tuwakumbushe.

Vurugu nyingi nchini Nigeria, DRC, Cote D Ivoire, Central Africa na Sudan chanzo chake ni kuruhusu viongozi wa kiroho ambao wanaongoza taasisi za kiroho kugombea uongozi wa kisiasa.

Nchini Nigeria kwa mfano mpaka katiba imetamka kuwa uraisi utagombewa kwa zamu kati ya waislamu na wakristo. Hoja hii ilitolewa bungeni na kiongozi wa kiroho na ikapita!

Nchini DRC kanisa katoliki limekuwa ndio upinzani. Ndio wamiliki wa migodi mikubwa ya Bauxite.

Nchini Cote D Ivoire waasi waliotokea Boauke walikuwa wanaongozwa na kiongozi wa kiroho aliyekuwa mbunge. Vita ya uraisi nchini Cote D Ivoire ni kati ya waislamu na wakristo. Raisi Boigny yeye aliita Ivory Cost "the little Vatican" na akatumia wingi wa viongozi wa kiroho wa dhehebu lake kuidhinisha ujenzi wa "Saint Peter's Cathedral" kijijini kwake Youmoussokro kwa hela ya serikali.

Nchini Central Africa kuchinjana kulianza rasmi pale viongozi wa kiroho kwa kutumia wingi wao bungeni kupitisha sheria ya kuwahamisha waislamu wote kutoka mji mkuu. Utekelezeji wa sheria hii ulisimamiwa na Meya na uliambatana uchomaji nyumba za ibada. Tourag na Boko Haram nao wakaja nchini kulipiza kisasi!

Nchini Sudan viongozi wa kiroho kwa kuzingatia wingi wao bungeni wakawa wanawatesa wenzao. Mpaka wenzao wakaona ni vyema kujitenga.

Hakika huwezi kuruhusu viongozi wa kiroho kuwa wabunge au Rais na mkabaki salama. Lazima watatekeleza ya imani zao.

Tanzania hatukuwahi kuwa na viongozi wa taasisi za kiroho. Tuliwahi kuwa na mapadre na mashehe lakini hawakuwa viongozi wa taasisi. Licha ya hilo bado tulishuhudia watu wakifanya upendeleo. Mifano ipo na inajulikana.

Wale wote wanaoshangilia kina Gwajima kutangaza nia hawajui hatari iliyopo? Hivi CCM inakosa mtu asiye kiongozi wa taasisi ya kidini kugombea Kawe? Ni matumaini yangu CCM kitaona hatari hii. Hawatafuata mashabiki wanazi. Mustakabali wa nchi haufai hii mizaha.

Hivi kesho wakitokea wale maaskofu wanaoiunga mkono CHADEMA nchi itabaki salama? Au tuseme UAMSHO nao watangaze nia? Tutabaki kama Taifa?

Tuache mzaha kwenye hili suala.

Rai:
1. Makatibu wakuu wa vyama msiwapitishe hawa viongozi wa kiroho kuwakilisha vyama vyenu majimboni.

2. Msajili wa vyama vya siasa, hawa wakipitishwa na vyama basi viandikieni barua vya kuwaonya kuwa wagombea wao hawafai kwa Usalama wa Taifa.

3. Idara zinazoshughulika na Usalama wa Taifa zilishughulikie hili mapema.

Inawezekana kuna complications za kisheria, lakini busara lazima itumike.

Sehemu kubwa ya maandishi haya yanatokana na makala ya Diaspora, Yahya Msangi.
Peter Msigwa 😀😀😀😀
 
Wana haki kama wengine.
Kila mtu akiachwa bila sheria Kali anakuwa ama mdini ,au mkabila au Mbaguzi wa Rangi au Mnyanyasaji wa kijinsia au kupendelea Chama chake wazi wazi.

Kila kitu kinapaswa kuwa na sheria Kali ya kukisimamia ili kujenga ustaarabu,utu, usawa mbele ya sheria na amani ya nchi au jamii.

Gwajima ana haki ya kuwa mbunge au hata waziri.
Jambo la msingi ni kufuata sheria na miiko uongozi.

Gwajima amesaidia sana kutoa elimu kuhusu ugonjwa wa Corona na watu wengi walimwelewa.
Anafaa kabisa kuwa mbunge mwenye akili kubwa.
 
Hili linaweza likawa wazo linalokera kwa baadhi ya watu, lakini tuna wajibu wa kutahadharishana.

Kuna hatari inatunyemelea.

Sasa ni kipindi cha kutangaza nia. Tayari baadhi ya viongozi wa kiroho wameanza kutangaza nia wakiwemo Nabii Shilla (CHADEMA) na Gwajima (CCM). Na huenda bado tutashuhudia wengine na wakubwa zaidi.

Lakini ni jukumu letu tuwakumbushe.

Vurugu nyingi nchini Nigeria, DRC, Cote D Ivoire, Central Africa na Sudan chanzo chake ni kuruhusu viongozi wa kiroho ambao wanaongoza taasisi za kiroho kugombea uongozi wa kisiasa.

Nchini Nigeria kwa mfano mpaka katiba imetamka kuwa uraisi utagombewa kwa zamu kati ya waislamu na wakristo. Hoja hii ilitolewa bungeni na kiongozi wa kiroho na ikapita!

Nchini DRC kanisa katoliki limekuwa ndio upinzani. Ndio wamiliki wa migodi mikubwa ya Bauxite.

Nchini Cote D Ivoire waasi waliotokea Boauke walikuwa wanaongozwa na kiongozi wa kiroho aliyekuwa mbunge. Vita ya uraisi nchini Cote D Ivoire ni kati ya waislamu na wakristo. Raisi Boigny yeye aliita Ivory Cost "the little Vatican" na akatumia wingi wa viongozi wa kiroho wa dhehebu lake kuidhinisha ujenzi wa "Saint Peter's Cathedral" kijijini kwake Youmoussokro kwa hela ya serikali.

Nchini Central Africa kuchinjana kulianza rasmi pale viongozi wa kiroho kwa kutumia wingi wao bungeni kupitisha sheria ya kuwahamisha waislamu wote kutoka mji mkuu. Utekelezeji wa sheria hii ulisimamiwa na Meya na uliambatana uchomaji nyumba za ibada. Tourag na Boko Haram nao wakaja nchini kulipiza kisasi!

Nchini Sudan viongozi wa kiroho kwa kuzingatia wingi wao bungeni wakawa wanawatesa wenzao. Mpaka wenzao wakaona ni vyema kujitenga.

Hakika huwezi kuruhusu viongozi wa kiroho kuwa wabunge au Rais na mkabaki salama. Lazima watatekeleza ya imani zao.

Tanzania hatukuwahi kuwa na viongozi wa taasisi za kiroho. Tuliwahi kuwa na mapadre na mashehe lakini hawakuwa viongozi wa taasisi. Licha ya hilo bado tulishuhudia watu wakifanya upendeleo. Mifano ipo na inajulikana.

Wale wote wanaoshangilia kina Gwajima kutangaza nia hawajui hatari iliyopo? Hivi CCM inakosa mtu asiye kiongozi wa taasisi ya kidini kugombea Kawe? Ni matumaini yangu CCM kitaona hatari hii. Hawatafuata mashabiki wanazi. Mustakabali wa nchi haufai hii mizaha.

Hivi kesho wakitokea wale maaskofu wanaoiunga mkono CHADEMA nchi itabaki salama? Au tuseme UAMSHO nao watangaze nia? Tutabaki kama Taifa?

Tuache mzaha kwenye hili suala.

Rai:
1. Makatibu wakuu wa vyama msiwapitishe hawa viongozi wa kiroho kuwakilisha vyama vyenu majimboni.

2. Msajili wa vyama vya siasa, hawa wakipitishwa na vyama basi viandikieni barua vya kuwaonya kuwa wagombea wao hawafai kwa Usalama wa Taifa.

3. Idara zinazoshughulika na Usalama wa Taifa zilishughulikie hili mapema.

Inawezekana kuna complications za kisheria, lakini busara lazima itumike.

Sehemu kubwa ya maandishi haya yanatokana na makala ya Diaspora, Yahya Msangi.
Nimekuelewa vizuri sana mkuu! Nimesoma kila mstari, nia yako ni njema, wahusika wakusikie tu
 
Hili linaweza likawa wazo linalokera kwa baadhi ya watu, lakini tuna wajibu wa kutahadharishana.

Kuna hatari inatunyemelea.

Sasa ni kipindi cha kutangaza nia. Tayari baadhi ya viongozi wa kiroho wameanza kutangaza nia wakiwemo Nabii Shilla (CHADEMA) na Gwajima (CCM). Na huenda bado tutashuhudia wengine na wakubwa zaidi.

Lakini ni jukumu letu tuwakumbushe.

Vurugu nyingi nchini Nigeria, DRC, Cote D Ivoire, Central Africa na Sudan chanzo chake ni kuruhusu viongozi wa kiroho ambao wanaongoza taasisi za kiroho kugombea uongozi wa kisiasa.

Nchini Nigeria kwa mfano mpaka katiba imetamka kuwa uraisi utagombewa kwa zamu kati ya waislamu na wakristo. Hoja hii ilitolewa bungeni na kiongozi wa kiroho na ikapita!

Nchini DRC kanisa katoliki limekuwa ndio upinzani. Ndio wamiliki wa migodi mikubwa ya Bauxite.

Nchini Cote D Ivoire waasi waliotokea Boauke walikuwa wanaongozwa na kiongozi wa kiroho aliyekuwa mbunge. Vita ya uraisi nchini Cote D Ivoire ni kati ya waislamu na wakristo. Raisi Boigny yeye aliita Ivory Cost "the little Vatican" na akatumia wingi wa viongozi wa kiroho wa dhehebu lake kuidhinisha ujenzi wa "Saint Peter's Cathedral" kijijini kwake Youmoussokro kwa hela ya serikali.

Nchini Central Africa kuchinjana kulianza rasmi pale viongozi wa kiroho kwa kutumia wingi wao bungeni kupitisha sheria ya kuwahamisha waislamu wote kutoka mji mkuu. Utekelezeji wa sheria hii ulisimamiwa na Meya na uliambatana uchomaji nyumba za ibada. Tourag na Boko Haram nao wakaja nchini kulipiza kisasi!

Nchini Sudan viongozi wa kiroho kwa kuzingatia wingi wao bungeni wakawa wanawatesa wenzao. Mpaka wenzao wakaona ni vyema kujitenga.

Hakika huwezi kuruhusu viongozi wa kiroho kuwa wabunge au Rais na mkabaki salama. Lazima watatekeleza ya imani zao.

Tanzania hatukuwahi kuwa na viongozi wa taasisi za kiroho. Tuliwahi kuwa na mapadre na mashehe lakini hawakuwa viongozi wa taasisi. Licha ya hilo bado tulishuhudia watu wakifanya upendeleo. Mifano ipo na inajulikana.

Wale wote wanaoshangilia kina Gwajima kutangaza nia hawajui hatari iliyopo? Hivi CCM inakosa mtu asiye kiongozi wa taasisi ya kidini kugombea Kawe? Ni matumaini yangu CCM kitaona hatari hii. Hawatafuata mashabiki wanazi. Mustakabali wa nchi haufai hii mizaha.

Hivi kesho wakitokea wale maaskofu wanaoiunga mkono CHADEMA nchi itabaki salama? Au tuseme UAMSHO nao watangaze nia? Tutabaki kama Taifa?

Tuache mzaha kwenye hili suala.

Rai:
1. Makatibu wakuu wa vyama msiwapitishe hawa viongozi wa kiroho kuwakilisha vyama vyenu majimboni.

2. Msajili wa vyama vya siasa, hawa wakipitishwa na vyama basi viandikieni barua vya kuwaonya kuwa wagombea wao hawafai kwa Usalama wa Taifa.

3. Idara zinazoshughulika na Usalama wa Taifa zilishughulikie hili mapema.

Inawezekana kuna complications za kisheria, lakini busara lazima itumike.

Sehemu kubwa ya maandishi haya yanatokana na makala ya Diaspora, Yahya Msangi.
Mawazo yako ni mazuri lakini tambua yafuatayo:
1. Sheria haiwakatazi viongozi wa kiroho kushika nyadhifa za kiserikali.
2. Wana haki sawa kama watanzania wa kawaida.
3. Kura ndio zitakazoamua, hatuwezi kuchagua kiongozi asiye na dini, ni mara chache sana, either atakuwa mkristo au muislam; kuwa kiongozi wa taasisi ya dini sio kikwazo cha kumzuia asigombee.
4. Mifano uliyoitoa hapo juu haiendani na hali ya siasa ya nchi yetu., ila ninachokiona unaanza kupanda mbegu ya udini kwa wapiga kura.
5. Tutakosea sana kama tutawachukulia hawa watia nia kama viongozi wa kiroho watakapokuwa bungeni;ni kosa, hawa ni wawakilishi wa majimbo yao.
6. Tunawahitaji kwa busara na hekima zao, tusingependa kuongozwa na watu wasio na hofu ya Mungu sababu ndio chanzo cha maovu.
7. Endapo kunakuwa na elements za favoritism, basi ni personal, kwani pia mtu anaweza kuwabagua watu kwa ukabila na undugu, si dini pekee.

MY TAKE
Waachwe kama walivyo, hakuna aliyekatazwa na katiba kugombea, awe wa dini, kabila au rangi yoyote. kuanza kuweka limitation kwao ndio chanzo cha kuleta utengano na ubaguzi.
 
Hili linaweza likawa wazo linalokera kwa baadhi ya watu, lakini tuna wajibu wa kutahadharishana.

Kuna hatari inatunyemelea.

Sasa ni kipindi cha kutangaza nia. Tayari baadhi ya viongozi wa kiroho wameanza kutangaza nia wakiwemo Nabii Shilla (CHADEMA) na Gwajima (CCM). Na huenda bado tutashuhudia wengine na wakubwa zaidi.

Lakini ni jukumu letu tuwakumbushe.

Vurugu nyingi nchini Nigeria, DRC, Cote D Ivoire, Central Africa na Sudan chanzo chake ni kuruhusu viongozi wa kiroho ambao wanaongoza taasisi za kiroho kugombea uongozi wa kisiasa.

Nchini Nigeria kwa mfano mpaka katiba imetamka kuwa uraisi utagombewa kwa zamu kati ya waislamu na wakristo. Hoja hii ilitolewa bungeni na kiongozi wa kiroho na ikapita!

Nchini DRC kanisa katoliki limekuwa ndio upinzani. Ndio wamiliki wa migodi mikubwa ya Bauxite.

Nchini Cote D Ivoire waasi waliotokea Boauke walikuwa wanaongozwa na kiongozi wa kiroho aliyekuwa mbunge. Vita ya uraisi nchini Cote D Ivoire ni kati ya waislamu na wakristo. Raisi Boigny yeye aliita Ivory Cost "the little Vatican" na akatumia wingi wa viongozi wa kiroho wa dhehebu lake kuidhinisha ujenzi wa "Saint Peter's Cathedral" kijijini kwake Youmoussokro kwa hela ya serikali.

Nchini Central Africa kuchinjana kulianza rasmi pale viongozi wa kiroho kwa kutumia wingi wao bungeni kupitisha sheria ya kuwahamisha waislamu wote kutoka mji mkuu. Utekelezeji wa sheria hii ulisimamiwa na Meya na uliambatana uchomaji nyumba za ibada. Tourag na Boko Haram nao wakaja nchini kulipiza kisasi!

Nchini Sudan viongozi wa kiroho kwa kuzingatia wingi wao bungeni wakawa wanawatesa wenzao. Mpaka wenzao wakaona ni vyema kujitenga.

Hakika huwezi kuruhusu viongozi wa kiroho kuwa wabunge au Rais na mkabaki salama. Lazima watatekeleza ya imani zao.

Tanzania hatukuwahi kuwa na viongozi wa taasisi za kiroho. Tuliwahi kuwa na mapadre na mashehe lakini hawakuwa viongozi wa taasisi. Licha ya hilo bado tulishuhudia watu wakifanya upendeleo. Mifano ipo na inajulikana.

Wale wote wanaoshangilia kina Gwajima kutangaza nia hawajui hatari iliyopo? Hivi CCM inakosa mtu asiye kiongozi wa taasisi ya kidini kugombea Kawe? Ni matumaini yangu CCM kitaona hatari hii. Hawatafuata mashabiki wanazi. Mustakabali wa nchi haufai hii mizaha.

Hivi kesho wakitokea wale maaskofu wanaoiunga mkono CHADEMA nchi itabaki salama? Au tuseme UAMSHO nao watangaze nia? Tutabaki kama Taifa?

Tuache mzaha kwenye hili suala.

Rai:
1. Makatibu wakuu wa vyama msiwapitishe hawa viongozi wa kiroho kuwakilisha vyama vyenu majimboni.

2. Msajili wa vyama vya siasa, hawa wakipitishwa na vyama basi viandikieni barua vya kuwaonya kuwa wagombea wao hawafai kwa Usalama wa Taifa.

3. Idara zinazoshughulika na Usalama wa Taifa zilishughulikie hili mapema.

Inawezekana kuna complications za kisheria, lakini busara lazima itumike.

Sehemu kubwa ya maandishi haya yanatokana na makala ya Diaspora, Yahya Msangi.
Rekebisha kwanza katiba ndipo ulete mapendekezo kama Haya.

Katiba yetu iko wazi kabisa na inampa kila mtanzania haki ya kupiga au kupigiwa kura ili mradi amekidhi vigezo.
 
Hili linaweza likawa wazo linalokera kwa baadhi ya watu, lakini tuna wajibu wa kutahadharishana.

Kuna hatari inatunyemelea.

Sasa ni kipindi cha kutangaza nia. Tayari baadhi ya viongozi wa kiroho wameanza kutangaza nia wakiwemo Nabii Shilla (CHADEMA) na Gwajima (CCM). Na huenda bado tutashuhudia wengine na wakubwa zaidi.

Lakini ni jukumu letu tuwakumbushe.

Vurugu nyingi nchini Nigeria, DRC, Cote D Ivoire, Central Africa na Sudan chanzo chake ni kuruhusu viongozi wa kiroho ambao wanaongoza taasisi za kiroho kugombea uongozi wa kisiasa.

Nchini Nigeria kwa mfano mpaka katiba imetamka kuwa uraisi utagombewa kwa zamu kati ya waislamu na wakristo. Hoja hii ilitolewa bungeni na kiongozi wa kiroho na ikapita!

Nchini DRC kanisa katoliki limekuwa ndio upinzani. Ndio wamiliki wa migodi mikubwa ya Bauxite.

Nchini Cote D Ivoire waasi waliotokea Boauke walikuwa wanaongozwa na kiongozi wa kiroho aliyekuwa mbunge. Vita ya uraisi nchini Cote D Ivoire ni kati ya waislamu na wakristo. Raisi Boigny yeye aliita Ivory Cost "the little Vatican" na akatumia wingi wa viongozi wa kiroho wa dhehebu lake kuidhinisha ujenzi wa "Saint Peter's Cathedral" kijijini kwake Youmoussokro kwa hela ya serikali.

Nchini Central Africa kuchinjana kulianza rasmi pale viongozi wa kiroho kwa kutumia wingi wao bungeni kupitisha sheria ya kuwahamisha waislamu wote kutoka mji mkuu. Utekelezeji wa sheria hii ulisimamiwa na Meya na uliambatana uchomaji nyumba za ibada. Tourag na Boko Haram nao wakaja nchini kulipiza kisasi!

Nchini Sudan viongozi wa kiroho kwa kuzingatia wingi wao bungeni wakawa wanawatesa wenzao. Mpaka wenzao wakaona ni vyema kujitenga.

Hakika huwezi kuruhusu viongozi wa kiroho kuwa wabunge au Rais na mkabaki salama. Lazima watatekeleza ya imani zao.

Tanzania hatukuwahi kuwa na viongozi wa taasisi za kiroho. Tuliwahi kuwa na mapadre na mashehe lakini hawakuwa viongozi wa taasisi. Licha ya hilo bado tulishuhudia watu wakifanya upendeleo. Mifano ipo na inajulikana.

Wale wote wanaoshangilia kina Gwajima kutangaza nia hawajui hatari iliyopo? Hivi CCM inakosa mtu asiye kiongozi wa taasisi ya kidini kugombea Kawe? Ni matumaini yangu CCM kitaona hatari hii. Hawatafuata mashabiki wanazi. Mustakabali wa nchi haufai hii mizaha.

Hivi kesho wakitokea wale maaskofu wanaoiunga mkono CHADEMA nchi itabaki salama? Au tuseme UAMSHO nao watangaze nia? Tutabaki kama Taifa?

Tuache mzaha kwenye hili suala.

Rai:
1. Makatibu wakuu wa vyama msiwapitishe hawa viongozi wa kiroho kuwakilisha vyama vyenu majimboni.

2. Msajili wa vyama vya siasa, hawa wakipitishwa na vyama basi viandikieni barua vya kuwaonya kuwa wagombea wao hawafai kwa Usalama wa Taifa.

3. Idara zinazoshughulika na Usalama wa Taifa zilishughulikie hili mapema.

Inawezekana kuna complications za kisheria, lakini busara lazima itumike.

Sehemu kubwa ya maandishi haya yanatokana na makala ya Diaspora, Yahya Msangi.

Kwani ni kipi kinachokutatiza exactly? Unateseka na nini yaani? Unawaongelea viongozi wa dini au viongozi wa makundi ya ujasusi?? Ni haki ya kila mtanzania kugombea uongozi, sasa sijui unataabishwa na nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom