MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Ni wakati sahihi kwa viongozi wetu wa dini zote kukutana na kujadili juu ya kuitaka serikali isiwe mbabe kwenye suala zima la kutupatia wananchi katiba mpya.
Inashangaza sana kuona serikali ya awamu ya 6 nayo inaingia kwenye mchezo wa kuchelewesha upatikanaji wa katiba mpya kama zilivyofanya serikali za awamu ya 4 na ya 5 na baya zaidi kwa serikali ya awamu ya 6 na imeanzisha kipengele cha elimu ya katiba kwa wananchi kwa miaka 3 huo wote ni kupoteza muda na kuchelewesha upatikanaji wa katiba mpya.
Suala la elimu tume ya jaji warioba ilitoa elimu na nakala za katiba iliyopo pia vipeperushi kwa wananchi wa nchi nzima.serikali ya awamu ya 6 ina nia ovu ya kuchelewesha upatikanaji wa katiba mpya.
Ombi kwa viongozi wa dini zote tupiganieni wananchi juu ya katiba mpya kwa kukutana na rais wa nchi.
Katiba ni haki ya wananchi katiba ni mali ya wananchi.
Inashangaza sana kuona serikali ya awamu ya 6 nayo inaingia kwenye mchezo wa kuchelewesha upatikanaji wa katiba mpya kama zilivyofanya serikali za awamu ya 4 na ya 5 na baya zaidi kwa serikali ya awamu ya 6 na imeanzisha kipengele cha elimu ya katiba kwa wananchi kwa miaka 3 huo wote ni kupoteza muda na kuchelewesha upatikanaji wa katiba mpya.
Suala la elimu tume ya jaji warioba ilitoa elimu na nakala za katiba iliyopo pia vipeperushi kwa wananchi wa nchi nzima.serikali ya awamu ya 6 ina nia ovu ya kuchelewesha upatikanaji wa katiba mpya.
Ombi kwa viongozi wa dini zote tupiganieni wananchi juu ya katiba mpya kwa kukutana na rais wa nchi.
Katiba ni haki ya wananchi katiba ni mali ya wananchi.