Mfwalamanyambi
JF-Expert Member
- Dec 18, 2010
- 433
- 102
Hizi documents mbona hazina mhuri au kithibitisho chochote kama kweli zimetoka kwa msajili? maana kama hakuna mhuri mtu yeyote anaweza akatengeneza na kuzitundika humu
Ukitumia headed paper hakuna haja ya kupiga mhuri. Kwa hiyo hizo docs zipo sahihi kabisa.