babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,113
- 16,025
mkuu sina cha kuongezea maana ni sawa tu na wanavyofanya wabunge wetu hapo dom.Ningependa kufahamu maoni yako vilevile badala tu ya kuangalia hicho kideo
nimechoka kabisa,inaelekea hawapendi kabisa kuwepo humo ndani,basi tu wafanyeje maana mshiko wa mwisho ndo wanahitaji.Duh!mambo yao,kama watoto kabisa wakati mwingine!!!