Vikosi vya Israel vyavamia Jenin katika Ukingo wa Magharibi huku juhudi za kusitisha mapigano zikiendelea

Eddo Sambai

JF-Expert Member
Aug 1, 2013
2,344
1,771
Wenzetu kwenye BBC Radio 4 wamekuwa wakizungumza na Mustafa Barghouti, mwanasiasa wa Palestina na kiongozi wa Mpango wa Kitaifa wa Palestina, ambaye amekuwa akizungumzia hali ya Jenin.

Anasema kuna "uvamizi mkubwa wa Israel" katika Jiji la Jenin na kambi ya wakimbizi ya Jenin, katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa.

Barghouti anasema wanajeshi wa Israel "tayari wameharibu nyumba mbili" na "wanazingira maeneo mengi".

Anasema wanajeshi walianza kwa kuingia katika hospitali kuu mbili za Jenin na kisha kuingia kambini, ambapo Barghouti anasema "wanaharibu miundombinu". "Ni mbaya sana. Wametangaza eneo lote la Jenin kama eneo lililofungwa la kijeshi," anasema.

Ameongeza kuwa licha ya kusitishwa kwa mapigano kwa muda huko Gaza, Israel inaendelea na "uvamizi wake katika maeneo ya Ukingo wa Magharibi."

Jeshi la Israel limesema lilifanya operesheni katika kambi ya wakimbizi ya Jenin ambapo magaidi wawili waandamizi waliuawa, vyombo vya habari vya Israel vimeripoti.

Source: BBC
 
Msako wa magaidi upo pale pale. Hamna cha cease fire wala nini?!
Long live Israeli
 
Wenzetu kwenye BBC Radio 4 wamekuwa wakizungumza na Mustafa Barghouti, mwanasiasa wa Palestina na kiongozi wa Mpango wa Kitaifa wa Palestina, ambaye amekuwa akizungumzia hali ya Jenin.

Anasema kuna "uvamizi mkubwa wa Israel" katika Jiji la Jenin na kambi ya wakimbizi ya Jenin, katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa.

Barghouti anasema wanajeshi wa Israel "tayari wameharibu nyumba mbili" na "wanazingira maeneo mengi".

Anasema wanajeshi walianza kwa kuingia katika hospitali kuu mbili za Jenin na kisha kuingia kambini, ambapo Barghouti anasema "wanaharibu miundombinu". "Ni mbaya sana. Wametangaza eneo lote la Jenin kama eneo lililofungwa la kijeshi," anasema.

Ameongeza kuwa licha ya kusitishwa kwa mapigano kwa muda huko Gaza, Israel inaendelea na "uvamizi wake katika maeneo ya Ukingo wa Magharibi."

Jeshi la Israel limesema lilifanya operesheni katika kambi ya wakimbizi ya Jenin ambapo magaidi wawili waandamizi waliuawa, vyombo vya habari vya Israel vimeripoti.

Source: BBC

Magaidi watajuta kuifahamu israel.
 
Magaidi watajuta kuifahamu israel.
20231103_234657.jpg
 
Tunataka mahali lilipojengwa hekalu la Mfalme Suleman,

Mpaka tulikute Sanduku la Agano la Mungu.

Mungu Wabariki Israel.
Mnatakiwa mjielimishe hawa sio waisraeli wa kweli mnaangamia kwa kukosa maarifa.hawa ni wapinga kristo.inakuwaje watoto wa yakobo ambao wanafuata kitabu cha kumbukumbu ya torati wanafanya usodoma na gomora?wakati hata uasherati wa kawaida ni haramu kwao?

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Wenzetu kwenye BBC Radio 4 wamekuwa wakizungumza na Mustafa Barghouti, mwanasiasa wa Palestina na kiongozi wa Mpango wa Kitaifa wa Palestina, ambaye amekuwa akizungumzia hali ya Jenin.

Anasema kuna "uvamizi mkubwa wa Israel" katika Jiji la Jenin na kambi ya wakimbizi ya Jenin, katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa.

Barghouti anasema wanajeshi wa Israel "tayari wameharibu nyumba mbili" na "wanazingira maeneo mengi".

Anasema wanajeshi walianza kwa kuingia katika hospitali kuu mbili za Jenin na kisha kuingia kambini, ambapo Barghouti anasema "wanaharibu miundombinu". "Ni mbaya sana. Wametangaza eneo lote la Jenin kama eneo lililofungwa la kijeshi," anasema.

Ameongeza kuwa licha ya kusitishwa kwa mapigano kwa muda huko Gaza, Israel inaendelea na "uvamizi wake katika maeneo ya Ukingo wa Magharibi."

Jeshi la Israel limesema lilifanya operesheni katika kambi ya wakimbizi ya Jenin ambapo magaidi wawili waandamizi waliuawa, vyombo vya habari vya Israel vimeripoti.

Source: BBC
si hao hao wanaoshangilia makombora ya lebanon ?
 
Back
Top Bottom