Vikosi maalumu 16 bora na hatarishi zaidi duniani, Tanzania ni ya tatu!

Kwa mujibu wa Salum Jecha, Majeshi ya Tanzania ni miongoni mwa vikosi bora 30 duniani vinavyoongoza kwa vifaa vya kisasa, uwezo wa kimapambano & uokoaji na kumiliki meli 3 na kinu kimoja cha nyuklia ..

Kwa mujibu wa Jecha, "Tanzania ya sasa imekwiva kila idara, kuanzia majini, ardhini hadi angani" washindani wetu kwa sasa ni Russia, China na Marekani..
 
Habarini wana JF, kuna tetesi kuwa Jeshi la Wananchi Wa Tanzania (JWTZ) limekua miongoni mwa Majeshi Bora 30 Duniani, Kuna mwenye uthibitisho katika hili!!! na kama ni 30 kwa Afrika ama Dunia mzima Pia Msaada tafadhali ni vizuri taarifa nzuri kama hizi tukiwa tunazijua kwani ni sehemu ya sisi kujivunia kama Watanzania #tupendevyanyumbani
Unajua tofauti kati ya jeshi na kikosi lakini.....? Kilichopo Congo ni kikosi sio jeshi kamili......so sema tupo kwenye kikosi bora ambacho kipo Congo kulinda amani.
Na hiyo makala imeandikwa na mick wren ndio wabongo tunaisambaza.
 
Unajua tofauti kati ya jeshi na kikosi lakini.....? Kilichopo Congo ni kikosi sio jeshi kamili......so sema tupo kwenye kikosi bora ambacho kipo Congo kulinda amani.
Na hiyo makala imeandikwa na mick wren ndio wabongo tunaisambaza.

saimon111 sorry unaweza share huo waraka au kwa link naweza ipata labda nadhani nimeanza kukuelewa
 
Habarini wana JF, kuna tetesi kuwa Jeshi la Wananchi Wa Tanzania (JWTZ) limekua miongoni mwa Majeshi Bora 30 Duniani, Kuna mwenye uthibitisho katika hili!!! na kama ni 30 kwa Afrika ama Dunia mzima Pia Msaada tafadhali ni vizuri taarifa nzuri kama hizi tukiwa tunazijua kwani ni sehemu ya sisi kujivunia kama Watanzania #tupendevyanyumbani
Ila unaposema ubora ingefaa uweke ni ubora kwa nyanja ipi ya majeshi, kulinda amani, jeshi la infant, marine, airbone, komandoo. Ubora kwenye kilimo, uvuvi, au upande upi?
 
Habarini wana JF, kuna tetesi kuwa Jeshi la Wananchi Wa Tanzania (JWTZ) limekua miongoni mwa Majeshi Bora 30 Duniani, Kuna mwenye uthibitisho katika hili!!! na kama ni 30 kwa Afrika ama Dunia mzima Pia Msaada tafadhali ni vizuri taarifa nzuri kama hizi tukiwa tunazijua kwani ni sehemu ya sisi kujivunia kama Watanzania #tupendevyanyumbani
Pia ubora kwa kuringanisha na nani
 
hayo ndo maono yake ila sizani kam ao wakiambiw wakapigan na spertnaz kam wataend

Sent from my NEW V1 using JamiiForums mobile app
 
Huwezi kua na jeshi bora Bila kua na Uchumi bora. Kwenye Uchumi wa Dunia sisi ni wangapi? Ukipata jibu utajua kijeshi nafasi yetu ikoje Mkuu.
 
ni kweli ktk 35 bora tumo. sio ktk majeshi bora kwa maana ya silaha kali na mbinu za kivita kuliko majeshi mengine, bali ktk vikoc vya kimataifa vya kulinda amani kylingana na mission tulizopewa hadi sasa. Congo tumefanya vizuri sn na ndiko tulikopatia maujiko. nchi zingine walikopangiwa hawajafanya vzr lakini pengine wanaowasimamia nao wako vizuri ila si lazima tuwe tumewazidi. wapo wengi waliotuzidi ila mission zao ni ngumu
 
HONGERA JWTZ KWA KUTOA KIKOSI BORA NA MADHUBUTI CHA KIJESHI DUNIANI
%25255BUNSET%25255D.jpg


Majarida mbalimbali duniani yamechapisha makala juu ya vikosi 35 bora zaidi vya jeshi duniani huku kikosi cha JWTZ Monusco kilichoko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kikiwemo. .
.
Mwandishi Micky Wren anataja vikosi hivyo kama ni bora zaidi duniani (World's most elite military teams) katika makala yake inauokwenda kwa jina la "35 Most Badass Fighting Units From Arround the world"

Katika makala hii ambayo inapatikana mtandaoni Micky Wren anasema vikosi hivyo vimefundishwa kwa viwango vya juu sana, vina zana bora za kijeshi na vimeandaliwa kwa hali ya juu kabisa kukabiliana na adui katika mazingira yoyote ikiwemo mapigano ya kijeshi, ugaidi na hata kuokoa mateka. Vikosi hivyo 35 duniani vinajumuisha mataifa makubwa duniani kama Marekani, Canada, Uingereza, Holland, Israel, Irish, Australia, Russia, Belgium, Norway, Ufaransa, Tanzania, Indonesia, Iraq n.k.
Vikosi hivyo ni hivi vifuatavyo:-

1. US Navy SEAL

2. British SAS

3. Huntsmen Corps : Danish Special Forces

4. French Special Forces

5. Shayetet 13 (Israeli Special Forces)

6. Irish army rangers

7. Australian SASR

8. MARSOC

9. Canadian counter terrorist group JTF2

10. Russian Special Forces: Spetsnaz

11. Dutch Special Forces

12. SBS

13. Delta Force

Delta-Force

14. Belgian Special Forces Group

15. Norwegion MJK

16. Canadian Joint Incident Response Unit (Nuclear, biological and chemical warfare defence)

17.Marinejegerkommandoen – Norwegian Navy Special Forces

18. French Commando Marine

19. Norwegian Armed Forces’ Special Command

20. New Zealand Special Forces

21. US Army Special Forces Sniper with Remington Modular Sniper Rifle

22. Polish GROM

23. U.S. Special Forces

24. Indonesian Special Forces Command

25. Romanian Special Forces

26. Serbian Gendarmerie

27. Tanzanian (JWTZ) Special Forces In Congo

28. German KSK (Army / Special Forces)

29. German Army Special Forces the KSK

30. ROC (Taiwan) Special Forces with bullet proof face masks

31. Austrian special forces: Jagdkommando

32. Kampfschwimmer (Combat Swimmers) from Germany’s elite SxEK-M special forces

33. Iraqi special forces

34. Korean Special Forces

masama blog
 
Back
Top Bottom