Kisambo
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 842
- 510
We kalale acha kudanganywa,yaani Tanzania iwe ya 3 dunia nzima? List ya mataifa yenye special forces imara zaidi na za kutisha duniani,ni USA,Israel,Russia,UK,France,Japan,Germany,China,Canada,kwa hiyo na wewe unakubali kabisa kuwa Tanzania izishinde,FRANCE,UK,JAPAN,GERMANY na Canada kwa ubora wa Makomandoo? Hao wanaume wenu wa Dar ni majanga.
Umewasahau Korea!