Sitachoka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 3,030
- 1,303
Heshima kwenu wadau
Mimi bado sitaki kuamini kile nilichokipost humu ndani kuhusu kauli ya Naibu spika Job Ndugai akiwa anahojiwa na shirika la utangazaji BBC alisema mpango wa kutokuonyesha bunge, kama imekuwa kweli hivi maana bunge la leo halijaoneshwa
Hii imekaaje wanajamii?
Mimi bado sitaki kuamini kile nilichokipost humu ndani kuhusu kauli ya Naibu spika Job Ndugai akiwa anahojiwa na shirika la utangazaji BBC alisema mpango wa kutokuonyesha bunge, kama imekuwa kweli hivi maana bunge la leo halijaoneshwa
Hii imekaaje wanajamii?