Vijipu vidogovidogo vimeanza kujitumbua vyenyewe bila kutumbuliwa

magiribanya

Member
Nov 19, 2015
22
3
Kampuni ya ujenzi ya CRJE, yaani CHINA RAILWAY JIANCHENG ENGENEERING, imeanza kutoa vifaa muhimu kama helmet, buti na overalls, kwa wafanyakazi wake na mamantilie wanapata maji ya kutosha ambayo walikuwa wakizuiwa kuchota ndani ya site.

Sasa hivi mabomba yamesogezwa hadi kwenye migahawa yao,barabara zinamwagiliwa maji kila uchwao coz ilikuwa kero ya vumbi kila siku, vibarua wanatatuliwa kero zao si kama zamani, kwa mfano vibarua wakiumia walikuwa wanajitibia kwa pesa zao na hivi sasa wanatibiwa kwa pesa ya mchina na gari yakuwapeleka hospitali wamepatiwa, yaani kila kitu ni shwari, kwani waliyafumbia macho mashida ya hawa wazawa kwa muda mrefu sasa.

Sasa hivi mchina anamnyenyekea kibarua na akizidisha muda wa kazi,overtime anatoa,yaani ni raha kwakweli,

All in all it because of the supersonic speed of Presdent Magufuli, which travells with a gigantic vigrant way which makes these people matumbo joto.
 
Yan hii hali ilivyo hiv sasa ukinywa beer 5 badala ya 1au2 ulizo kua unapata utasema Magufuli huyu"
 
kaza buti Pombe utunyonshee nchi yetu iliyokwisha pindishwa na wajanja wachache
 
Kampuni ya ujenzi ya CRJE, yaani CHINA RAILWAY JIANCHENG ENGENEERING, imeanza kutoa vifaa muhimu kama helmet, buti na overalls, kwa wafanyakazi wake na mamantilie wanapata maji ya kutosha ambayo walikuwa wakizuiwa kuchota ndani ya site.

Sasa hivi mabomba yamesogezwa hadi kwenye migahawa yao,barabara zinamwagiliwa maji kila uchwao coz ilikuwa kero ya vumbi kila siku, vibarua wanatatuliwa kero zao si kama zamani, kwa mfano vibarua wakiumia walikuwa wanajitibia kwa pesa zao na hivi sasa wanatibiwa kwa pesa ya mchina na gari yakuwapeleka hospitali wamepatiwa, yaani kila kitu ni shwari, kwani waliyafumbia macho mashida ya hawa wazawa kwa muda mrefu sasa.

Sasa hivi mchina anamnyenyekea kibarua na akizidisha muda wa kazi,overtime anatoa,yaani ni raha kwakweli,

All in all it because of the supersonic speed of Presdent Magufuli, which travells with a gigantic vigrant way which makes these people matumbo joto.

"All in all it because of the supersonic speed of Presdent Magufuli, which travells with a gigantic vigrant way which makes these people matumbo joto"- Nimeipda sana!!!!
 
Back
Top Bottom