Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,132
Nakua kiwivu kinakusumbua mkuu pole
Na sina mpango wa kuacha.Pole!
Nakua kiwivu kinakusumbua mkuu pole
Mwita Maranya nimebakia kucheka na sarakasi zako na kuniita eti nina utapiamlo wa akili. Mimi nina taaluma yangu wala sitegemei kumtumikia au kumpendezesha mwanasiasa ili nipate cheo au kula. Mimi sio mtumwa kama ulivyowewe na timu yenu ya kumsifia mwanaume mwenzenu hatapale anapokoseawazi. January alichaguliwa kwakura za kutosha na wajumbe wa kamati kuu ya ccm wa jimbo la Bumbuli na kwa kishindo akampiga chini wa mzee wa "aondolwe" Shelukindo. Mzee aliligeuza jimbo letu kwa miaka 15 ni mali yake na hakuna maendeleo mpaka anaondolewa madarakani. Bumbuli ni jimbo lenye wafanyibiashara wengi na mazao mengi kama nyanya yanatoka huko cha ajabu Shelukindo kwa miaka yote 15 hata barabara kuwarekebishia wanajimbo wake alishindwa. What next kama sio kumng'oa? Na wananchi wa Bumbuli waliimba na kushangilia kwakusema 'aondolwe aondolwe' ni haki wala hakuna hila yeyote aliofanyiwa. January ni msomi na mchapakazi mzuri serikalini anayejali wananchi wake. Amekuwa tayari kwenda kinyume mara nyingine na serikali yake na kusimama upande wa wananchi. Refer tukio la kupigwa wananchi wa Mponde juzi na tukio la kodi ya laini ya cmkadi.
Kifupi hauwezi kumdiscredit JMakamba hata watu watakushangaa. Msimbadilike leo na kumuona hafai kisa vijana wamemtaja awanie uraisi. Kamanda Ben Saanane amekuwa akimsifia mara kibao Jm leo kisa katajwa uraisi tofauti na kamari zake za kisiasa anazocheza kwakumpigia upatu Benard Membe anamponda.
"KVT"ndio naisikia wanajishughulisha na nini.?
Hivyohivyo wameamua kumpa shavu kijana mwenzetu aliyesmart ktk siasa zake. Pamoja na mawindo yote mlioyomtafuta kumkatishia maisha yake kwa sumu hana kinyongo na mtu.
Vijana waguswa? Wa wapi hao? Hivi kuna taasisi yoyote katika Tanzania inaweza kusimama na kujinadi kuwasemea vijana at least the majority?
BTW Chifu Msopa ni mtoto wa mjini tu huyo mpiga deals, utamkuta sijui BAHAKITA mara TIPF mara hii Kamati ya Vijana Wapenda Amani. Huyu ndiye alimchukua yule mtoto maarufu Sheikh Shariff na kumweka kwao huko Mabibo akawa anatengeza tu pesa kiulaini kwa wale wahitaji wote wenye shida na nia ya kumwona Sheikh Shariff.
Vijana waguswa? Wa wapi hao? Hivi kuna taasisi yoyote katika Tanzania inaweza kusimama na kujinadi kuwasemea vijana at least the majority?
BTW Chifu Msopa ni mtoto wa mjini tu huyo mpiga deals, utamkuta sijui BAHAKITA mara TIPF mara hii Kamati ya Vijana Wapenda Amani. Huyu ndiye alimchukua yule mtoto maarufu Sheikh Shariff na kumweka kwao huko Mabibo akawa anatengeza tu pesa kiulaini kwa wale wahitaji wote wenye shida na nia ya kumwona Sheikh Shariff.
Hao vijana waganga njaa.Nakumbuka siku moja tulikaa nao hotel moja maeneo ya Sinza ukaibuka mgogoro mkubwa wa kugombania posho na ziara ya kwenda kampala.
Niliwaambia siwezi kushiriki kwenye taasisi hii ya watu wanaotanguliza mbele njaa zao.Nakumbuka kijana mmoja ambae ni rafiki yangu wa NCCR-Mageuzi alitishia kujitoa
Vijana wanaotoka upande wa Zanzibar nao wakaona vijana wa Bara wanawanyima baadhi ya fursa na kuwadharau.Nakumbuka kinara wao alikua dada mmoja wa CUF kutoka Pemba.
Leo wameibuka na mapendekezo ya aina hii?Walifanya wapi research?Sampling method ilikuaje?
Vijana wadogo wanaanza kupiga ramli,wakizeeka watakua exhausted kwenye fani hiyo.What a Disgrace?
Mwita Maranya wewe ni double standard wala hauwezi kusimamia kile unachoamini kama ulivyosema hapo juu. Hayo uliyosema kuhusu Jmakamba ungeyasimamia kwa katibu wako ambaye amethibitishwa kula pesa za chama na bado nyinyi mnamuunga mkono. Ngoja nikuitie chama akuzodoe kwa uongo wako.
wala usiache na wivu wenyewe ni wa kike!Na sina mpango wa kuacha.Pole!
wala usiache na wivu wenyewe ni wa kike!
Nazani hao ni vijana waislamu Wapenda Uislamu.
Mbatia wamemuweka kama kichaka tu ila Sijaona sifa hapo za Maraisi ila dini tu.
Labda wangesema Abdala Safari, Said Kubenea na Vicent Nyerere kidogo ningeelewa
Acha mbwembwe wewe gamba. Mimi najua muda wako wa kushika shift umekwisha na anayekuja kukutoa lindoni ni chama wala usiseme kuwa unamuita aje kunizodoa, kwakuwa hana uwezo huo kama ambavyo wewe huna uwezo huo.
Unazidi kujifunua uwezo wako mdogo na mimi sitachoka kukupa shule kadri nafasi itakavyopatikana. Hakuna mahali popote ambapo kiongozi wetu anayewanyima usingizi baba zako, mama zako na ndugu zako wa ccm amewahi kutuhumiwa kuiba fedha ya chama, seuze kuthibitika!!?? anyway nenda kamuite chama aje kukutoa lindoni najua sasahivi una njaa kwakuwa tangu asubuhi umefanikiwa kutia tumboni mihogo mikavu tu.
Umekalia kumshambulia Jmakamba kwa tuhuma za kuiba mtihani na kuonyesha hajawasaidia watu wa jimboni kwake.
Hivi umefika Bumbuli siku za karibuni na kuiona barabara ilivyo? Haujui kuwa january kaanzisha mfuko ujulikanao kama Bumbuli Development Co-operation na wananchi wameanza kufaidika nao.