Wakuu,
Msianze siasa za Sharrif Hamad ambaye huchiochea watu kisha akaingia kizani wakati mabo yamekuwa mambo..Ni uchiochezi kama huu ulosababisha maafa ya 2000 baada ya wajinga wachache kuanzisha fujo kwnai nakumbuka hata Unguja Wapemba walianza kudai wamechukua nchi yao..
Sasa ikiwa John Okello aliweza fanya mapinduzi kwa magobole within 24 hours mnafikiri kweli mnao Ubavu wa kupambana..
Nitawaomba sana tuepuke uchochezi wa aina hii kwani hauwatakii mema wala haki ya Wazanzibnar..Hatua zilizokwisha fikiwa na viongozi wenu zinatia moyo na hakika niaegemea mabadiliko makubwa ktk Katiba ya nchi kwani upepo wa kisiasa tayari umeshaanza chukua mkundo wake..
Maswala mazito yote yanakubalika pande mbili za viongozi wa visiwani iwe CCM au CUF, hivyo jaribuni sana kutumia muda huu kufikiria mema na mikakati ambayo itwawezesha Wazanzibar kuwa serikali ya pili ktk muungano wa nchi mbili..Madai haya ni halali na yanaweza kabisa kufikishwa ktk vyombo vya juu vya kidunia na hakika mtashida..
Leo hii tukizungumzia Wapemba na Wabara tutaanza vita nyingine, maanake navyofahamu mimi wilaya ya Temeke mtu hashindi uchaguzi bila baraka za Wapemba..Sasa nao wanyang'anywe vitambulisho vya kupiga kura kwa sababu ni Wapemba waliojiandikisha bara?..
Msianze siasa za Sharrif Hamad ambaye huchiochea watu kisha akaingia kizani wakati mabo yamekuwa mambo..Ni uchiochezi kama huu ulosababisha maafa ya 2000 baada ya wajinga wachache kuanzisha fujo kwnai nakumbuka hata Unguja Wapemba walianza kudai wamechukua nchi yao..
Sasa ikiwa John Okello aliweza fanya mapinduzi kwa magobole within 24 hours mnafikiri kweli mnao Ubavu wa kupambana..
Nitawaomba sana tuepuke uchochezi wa aina hii kwani hauwatakii mema wala haki ya Wazanzibnar..Hatua zilizokwisha fikiwa na viongozi wenu zinatia moyo na hakika niaegemea mabadiliko makubwa ktk Katiba ya nchi kwani upepo wa kisiasa tayari umeshaanza chukua mkundo wake..
Maswala mazito yote yanakubalika pande mbili za viongozi wa visiwani iwe CCM au CUF, hivyo jaribuni sana kutumia muda huu kufikiria mema na mikakati ambayo itwawezesha Wazanzibar kuwa serikali ya pili ktk muungano wa nchi mbili..Madai haya ni halali na yanaweza kabisa kufikishwa ktk vyombo vya juu vya kidunia na hakika mtashida..
Leo hii tukizungumzia Wapemba na Wabara tutaanza vita nyingine, maanake navyofahamu mimi wilaya ya Temeke mtu hashindi uchaguzi bila baraka za Wapemba..Sasa nao wanyang'anywe vitambulisho vya kupiga kura kwa sababu ni Wapemba waliojiandikisha bara?..