Vijana wa Arusha kuuona uhuni na usela ni ujanja kunazidi kulitafuna jiji, usalama umepungua, maadili yameshuka, serikali haina msaada

Fata mambo yako jomba temana na raia waishi life lao dingilii!!
Mbona huko kweni kumejaa wachawi na hatubongii!
Unakuja hapa eti Arusha Arusha kama vipi tuachieni Arusha yetu tuamie kenya
Mbona inajulikana ninyi mko Kenya.....wazee wanalitambua hilo

Sema kwa sababu ya dola na thamani ya ardhi kubwa....mnalazimika kuwepo mlipo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Arusha inahitaji wokovu wa Programu maalum ya Kisayansi kuwatoa walipo. Hali ya Usalama pia siyo ya 100% vijana wamevurugwa ubongo muda wowote anakutoa uhai. Arusha siyo mahali sahihi kulelea familia kuna tatizo la jumla kwenye ile jamii
But ezii long hawamzuru mtu na wanafanya matukio yao Kama drama za kufurahisha watu hapo hakuna tatizo!!
 
Kuna siku nlipishana na machalii wawili mida ya saa tatu usiku, mitaa ya pale mianzini, wakiwa na umri kati ya miaka 13 au 14 hivi.

Mmoja kiunoni anabonge la beto, anamwambia mwenzake "haki ya mama, yule manzi asingetoa ile simu, mi ningemvurugua maini asee".
Inasikitisha....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mimi mwanzo ilikuwa inanipa shida sana mpaka kuja kukaa sawa na kuwaelewa style ya maisha yao. Nilikuwa nashangaa mtoto anaweza kukupita tu na anakutazama na wala hakusalimii, sio mtoto unakuta hata mtu mzima.

Ila baada ya kuwaelewa jinsi gani wanaishi maisha yao na ID yao wala sikupata tabu tena kuhusu Wachugga, na mimi nawapita tu...!
nilipishana na katoto ka miaka kama mi 5 hivi kule Mapambazuko et kakanambia Zasahizi Aseee nili mind kimy kimy yan ni mtoto wang wa pili kabsa et Zasahizi

Ingekua n kule kijijin kwet moshi nilishakapiga bakora zakutosha
 
Back
Top Bottom