BADO MMOJA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 2,196
- 1,338
Ndio kampeni zenu za vitisho nyie wapumbavu. sisi tumekwisha amua, tunataka uchaguzi huru la sivyo tutaandamana pasipo kikomo mtuue. Kwanza tanzania haina amani ni kuvumilia tu
Hivi mpumbavu kama wewe ukifa kwa maslahi ya wenye akili timamu milioni arobaini kuna hasara gani mwenzako anakuelewesha upime kwa akili zako uwezekano wa ahadi hizo wewe unakurupuka na ndiyo maana kwa sisi tunaoamini biblia inasema hivi: "MPUMBAVU HUAMINI KILA KITU BALI MWEREVU HUPIMA MAMBO KWA HEKIMA" hIVI hata kama una matope kichwani unaweza kuwa na bajaji na baada ya siku 50 ukawa na gari? au matembe yote Tanzania yanaweza kujengwa nyumba za kisasa kwa siku mia moja tu? LAKINI MPUMBAVU HAYO YOTE AMEYAAMINI MBONA NYUMBANI KWENU NYUMBA MOJA TU YA KISASA BABA ZENU WAMEJENGA KWA MIAKA 35 ZA UTUMISHI SERIKALINI HILO HAMJIULIZI MALIMBUKENI NYIE?