Mc abby
New Member
- Sep 27, 2023
- 3
- 6
Habali zenu wakubwa
Husika na kichwa tajwa hapo juu,lengo la uzi huu ni kutaka vijana tuzidi kujikwamua kiuchumi bila kuzingatia ajila za serikarini.
Sasa basi tunajikwamuaje ikiwa hata mitaji yenyewe hatuna na connection hatuna?
Jibu:
Nimesikia kwa Habali za mikopo ya taifa kwa vijana. Hii inaweza kusaidia kwa namna moja Ama nyingine kwa kutukwamua kiuchumi vijana wenye malengo chanya
Hivyo tunaomba kujua kwa mtu yeyote anaesoma uzi huu mwenye kujua hiyo mikopo inapatikana vipi na ni process gani za kufuata ili kuipata
Hakika utakua umesaidia vijana wengi sana humu wenye nia hiyo na hawaelewi pa kuanzia
Karibuni sasa kwa kuchangia ndugu zangu [mention]mama D [/mention]
Husika na kichwa tajwa hapo juu,lengo la uzi huu ni kutaka vijana tuzidi kujikwamua kiuchumi bila kuzingatia ajila za serikarini.
Sasa basi tunajikwamuaje ikiwa hata mitaji yenyewe hatuna na connection hatuna?
Jibu:
Nimesikia kwa Habali za mikopo ya taifa kwa vijana. Hii inaweza kusaidia kwa namna moja Ama nyingine kwa kutukwamua kiuchumi vijana wenye malengo chanya
Hivyo tunaomba kujua kwa mtu yeyote anaesoma uzi huu mwenye kujua hiyo mikopo inapatikana vipi na ni process gani za kufuata ili kuipata
Hakika utakua umesaidia vijana wengi sana humu wenye nia hiyo na hawaelewi pa kuanzia
Karibuni sasa kwa kuchangia ndugu zangu [mention]mama D [/mention]