Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Loh
hii wala siwezi kuisubiri mpaka jumatatu jamani
jana nilikuwa sehemu na famili tunakula kwa kweli hiyo sehemu ilinichukua
dk 30 kujiuliza kuna nini..kila anaekuja mtu mzima kabisa alafu anakatoto kadogo ka kakike
ukiwaangalia sana wanahamia mwisho kabisa kana kwamba wanajificha...lakini aikuwa mmoja
sasa basi nkaomba leo niwaulize ninyi watoto wetu wa kike wengine naamini wa shule
hivi mnapotembea na baba zetu jamani na kufanya familia kushindwa kuhudumiwa kama inavyotakiwa
nani wawape raha mama zetu jamani..embu achen ujinga amna hata aibu ya kuzaliwa kweli tena zmani mlikuwa mnavaa miwani meusi leo hii mnakaa nao macho kwa macho na wengine mnawapa mabusu motot moto mbee le zetu uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
achen jamani
hii wala siwezi kuisubiri mpaka jumatatu jamani
jana nilikuwa sehemu na famili tunakula kwa kweli hiyo sehemu ilinichukua
dk 30 kujiuliza kuna nini..kila anaekuja mtu mzima kabisa alafu anakatoto kadogo ka kakike
ukiwaangalia sana wanahamia mwisho kabisa kana kwamba wanajificha...lakini aikuwa mmoja
sasa basi nkaomba leo niwaulize ninyi watoto wetu wa kike wengine naamini wa shule
hivi mnapotembea na baba zetu jamani na kufanya familia kushindwa kuhudumiwa kama inavyotakiwa
nani wawape raha mama zetu jamani..embu achen ujinga amna hata aibu ya kuzaliwa kweli tena zmani mlikuwa mnavaa miwani meusi leo hii mnakaa nao macho kwa macho na wengine mnawapa mabusu motot moto mbee le zetu uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
achen jamani