Vijana mnaotembea na baba zetu mama zetu wapate raha wapi jamani???

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,150
Loh
hii wala siwezi kuisubiri mpaka jumatatu jamani
jana nilikuwa sehemu na famili tunakula kwa kweli hiyo sehemu ilinichukua
dk 30 kujiuliza kuna nini..kila anaekuja mtu mzima kabisa alafu anakatoto kadogo ka kakike
ukiwaangalia sana wanahamia mwisho kabisa kana kwamba wanajificha...lakini aikuwa mmoja

sasa basi nkaomba leo niwaulize ninyi watoto wetu wa kike wengine naamini wa shule
hivi mnapotembea na baba zetu jamani na kufanya familia kushindwa kuhudumiwa kama inavyotakiwa
nani wawape raha mama zetu jamani..embu achen ujinga amna hata aibu ya kuzaliwa kweli tena zmani mlikuwa mnavaa miwani meusi leo hii mnakaa nao macho kwa macho na wengine mnawapa mabusu motot moto mbee le zetu uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

achen jamani
 
Labda na wao ni waathirika pia. Hawahudumiwi na baba zao halali kwa sababu baba zao wanahudumia nyumba ndogo inabidi na wao watafute wababa wengine wa kuwalea.
 
Loh
hii wala siwezi kuisubiri mpaka jumatatu jamani
jana nilikuwa sehemu na famili tunakula kwa kweli hiyo sehemu ilinichukua
dk 30 kujiuliza kuna nini..kila anaekuja mtu mzima kabisa alafu anakatoto kadogo ka kakike
ukiwaangalia sana wanahamia mwisho kabisa kana kwamba wanajificha...lakini aikuwa mmoja

sasa basi nkaomba leo niwaulize ninyi watoto wetu wa kike wengine naamini wa shule
hivi mnapotembea na baba zetu jamani na kufanya familia kushindwa kuhudumiwa kama inavyotakiwa
nani wawape raha mama zetu jamani..embu achen ujinga amna hata aibu ya kuzaliwa kweli tena zmani mlikuwa mnavaa miwani meusi leo hii mnakaa nao macho kwa macho na wengine mnawapa mabusu motot moto mbee le zetu uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

achen jamani

Not advocating or reprimanding anything.

Lakini kuuliza "nani wawape raha mama zetu" ni kama vile kutowatambua "Serengeti Boys" ambao hawavumi, lakini wapo.

Wengine watajisikia kutukanwa kwa kutotambuliwa.

Kama tunasema disparity ya umri ni mbaya - and I am not saying that - basi tuiseme pande zote, sio kuendeleza mfumodume kwa kuwasema wasichana tu bila kuwasema wavulana, our culture notwithstanding.
 
ah wala usiwalaumu dada zetu bwana kwanza tuwalaumu hao wazazi ambao wameshindwa kuwalea hao wasichana katika maadili mema. pili lazima mijibaba inayokamatia hao vidosho walaumiwe...sio mbaya kukamatia vidosho only if nyumbani matumiza na mambo mengine una hakikisha kuwa kupo mwake...sio wapeleka demu hoteli kali watoto nyumbani wala ugali maharage. alafu mwisho vidosho wanapenda wazee maana kuspend kwao sio shida sio wewe unaliwa K na kijana mbaili hahaha
 
jana nilichukua katoto fulani hivi, ni kadogo kwa sura unawezafikiri miaka kama 18. na ndio umri wake. niko over 30s actually. nilichokikuta kule ndani, hata mama mtu mzima aliyezaa watoto nane hayuko ivo, sikuamini macho yangu. alikuwa ni mfupi, umbo nane, lakini ana bwawa....nilitamani kutapika..watoto wa siku hizi sio watoto, wamewazidi watu wazima umri na kila kitu.
 
Hiyo inaitwa transgeneration sex. Ni chanzo cha ukimwi kusambaa kama moto wa petrol. Jiulize, tuko wangapi? Baba mwenyewe mziki hauwezi, anabipu wikiendi tu. Huyo binti ana kijana mwenzie wa kumfikisha angani. Mama nae anajionea cha kufia, ana serengeti yake ya kubip mara moja kwa mwezi ambae nae ana wake wa kila siku!
Tulizana!
 
Pdidy, it takes two to tango, sasa mbona mashambulizi upande mmoja tu?
 
Last edited by a moderator:
BADILISHA HEADING Pdidy SIO WANAWAKE TU HATA VIJANA WADOGO WANALELEWA SEMA HIVI
Vijana mnaotembea na baba zetu /mama mnapata raha gani?
 
eeeeh wanakula/pata raha duniani......!!
Wenyewe wanasema watu wazima hawachoshi...round 1 kwishney...!
Na pia wanajua kutunza....!!
 
eeeeh wanakula/pata raha duniani......!!
Wenyewe wanasema watu wazima hawachoshi...round 1 kwishney...!
Na pia wanajua kutunza....!!
 
kuna jamaa yangu ana 46 ana rafiki kabinti ka miaka 22 naachwa hoi pale kabinti kanamwita jamaa yangu baby huwa nacheka sana kweli maisha yamebadilika siku hizi
 
Batoto ba kike masiku hizi ni laana na balaa sana....na ukute 20yrs anapiga miguu yote!!
 
Back
Top Bottom