Simon,
kwanini wananchi wasipinge kwa maandamano kama wakati wa MBIRU? wapare hatuna asili ya kukubali uonevu na kunyanyaswa kiasi hiki. pia suala hili lipelekwe kwa wabunge wa chadema kama mheshimiwa Zitto na John Mnyika waliwasilishe bungeni kwa mtindo wa hoja binafsi. uchimbaji wa bauxite unakausha mito ambayo ni chanzo cha maji kwa ajili ya KILIMO na matumizi mengine wilayani Same. haiwezekani tajiri mmoja ahatarishe maisha ya maelfu ya wananchi wa wilaya ya same. hali ikiendelea namna hii kuna hatari ya kutokea BALAA LA UKAME na NJAA na Upare ya Kusini haitakuwa kama tunavyoifahamu.
Nchi haina uongozi. Waliopo ni watawala na wanajitapa eti ni watawala bora! Sijui nani anayetaka kutawaliwa?
Bauxite siyo madini,hiyo ni ORE,ambayo ikichenjuliwa ndani yake unapata aliminiamu.
Nadhani mtoa mada utaweza rekebisha hilo,
From that bauxite huyo mjamaa ndo anaenda toa madini,so inakaprosesi kidogo.
Imany John. Kama udongo wa bauxite ukipembuliwa tunapata Aluminium huoni wizi unaofanyika ni wizi wa madini? Ndio maana nimesema tunaibiwa minerals mchana kweupe kwa bei ya kihuni. Huku tukiharibiwa mazingira kumbuka Aluminium is a silvery ductile metalic element found in Bauxite, it is a soft, durable and lighten. TUNAIBIWA MADINI. Alafu wakisha pembua udongo unaobaki wanatengeneza Cement aina ya Bamburi ambayo kiwanda chake kipo kenya. Kwa hyo wanaua ndege wawili kwa jiwe moja. This is silly gvt in another silly season
Imany John. Kama udongo wa bauxite ukipembuliwa tunapata Aluminium huoni wizi unaofanyika ni wizi wa madini? Ndio maana nimesema tunaibiwa minerals mchana kweupe kwa bei ya kihuni. Huku tukiharibiwa mazingira kumbuka Aluminium is a silvery ductile metalic element found in Bauxite, it is a soft, durable and lighten. TUNAIBIWA MADINI. Alafu wakisha pembua udongo unaobaki wanatengeneza Cement aina ya Bamburi ambayo kiwanda chake kipo kenya. Kwa hyo wanaua ndege wawili kwa jiwe moja. This is silly gvt in another silly season
Nashangaa jeshi la Polisi na usalama wataifa badala ya kumkamata huyu mwizi na mharibifu wa mazingira wanasubiri wananchi waandamane wawapige mabomu. WIZI HUU HATUTAuùmilia tena kama hamtamtoa sisi kwa mapanga na rungu tutamtoa ili tulinde mazingira na rasilimali zetu
Hivi ni kwa nini makamanda wa CDM hawaliibui hili jambo likajadiliwa hadharani na kupatikana majibu yake? Nimesikia hili jambo likiongelewa chinichini tu, lakini mpaka sasa sijasikia mtu yeyote akiulizwa au kuwajibishwa!
Nafikwa
Wafikwa na kini?
Vakea avae