Vifurushi vya Makampuni ya Simu ni Wizi Mtupu

Head teacher

JF-Expert Member
Mar 10, 2012
1,796
411
Tusaidiane Wakuu,

Unajiunga kifurushi cha 24hours unampigia mtu unaongea naye dakika 2. Baada ya hapo unatingwa na kazi za mchana, unarudi jioni nyumbani umechoka unakula chakula cha jioni, unaangalia taarifa ya habari ITV unaenda kulala, unaamka asubuhi unataka kumpigia boss umtaarifu daladala zimegoma unapoinua simu unasikia meseji inaingia. Kifurushi chako kimeisha. Hali kadhalika kwa vifurushi vya wiki na mwezi.

Huu ni wizi,TRCA wao wapo na cyber crimes wanawaacha mafisadi yakizidi kuwanyonya watanzania.

Tunawaomba TCRA wasimamie makampuni ya simu ili kama mteja amepewa kifurushi cha masaa 24, basi apige simu kwa muda wa masaa 24 hata kama atayamaliza masaa hayo kwa mwezi mzima au zaidi.
 
Hebu waza:Unajiunga kifurushi cha 24hours unampigia mtu unaongea naye dakika 2. Baada ya hapo unatingwa na kazi za mchana, unarudi jioni nyumbani umechoka unakula chakula cha jioni, unaangalia taarifa ya habari ITV unaenda kulala, unaamka asubuhi unataka kumpigia boss umtaarifu daladala zimegoma unapoinua simu unasikia meseji inaingia.

Kifurushi chako kimeisha. Hali kadhalika kwa vifurushi vya wiki na mwezi. Huu ni wizi, tcra wao wapo na cyber crimes wanawaacha mafisadi yakizidi kuwanyonya watanzania. Tunawaomba tcra wasimamie makampuni ya simu ili kama mteja amepewa kifurushi cha masaa 24, basi apige simu kwa muda wa masaa 24 hata kama atayamaliza masaa hayo kwa mwezi mzima au zaidi....

Mkuu kwa saruti,kuna mtantao wa Vodacom nimajanga unapojiunga na vifurushi kuna ambavyo wanadai nivifurushi vya masaa 24 bila kikomo ukijiunga unaletewa messager kifurushi chako kimeisha kabla yahayo masaa 24 mihuwa najiuliza haoyo masaa 24 bila kikomo maana yake ninini?au mimi ndo sijui kiswahili au wenza mnaelewaje maana ya bila kikomo:what:
 
Kwani kabla hujajounga si wanakwambia kabisa kifurushi chako kitaisha lini?na unakubali wewe mwenyewe ndio unajiunga.sasa hapo wizi uko wapi?Acha kulalamika mambo ambayo hayana msingi mkuu.jifunze kusoma mkataba vizuri kabla huja-sign sio unakurupuka tu.
 
kwani kabla hujajounga si wanakwambia kabisa kifurushi chako kitaisha lini?na unakubali wewe mwenyewe ndio unajiunga.sasa hapo wizi uko wapi?acha kulalamika mambo ambayo hayana msingi mkuu.jifunze kusoma mkataba vizuri kabla huja-sign sio unakurupuka tu.

ndo hapo sasa,,,,watz utatuweza kwa kulia lia,,,kabla hujakubari kujiunga unaambiwa kbs kuwa baada ya 24yrs kwishine
 
Kwani kabla hujajounga si wanakwambia kabisa kifurushi chako kitaisha lini?na unakubali wewe mwenyewe ndio unajiunga.sasa hapo wizi uko wapi?Acha kulalamika mambo ambayo hayana msingi mkuu.jifunze kusoma mkataba vizuri kabla huja-sign sio unakurupuka tu.



Logic iliyopo ni kwamba kifurushi kinaisha kabla ya huo muda ilhali hujatumia kufikia kuisha.

Tumia akili kufikiri.


Sijui umekula maharage ya wapi????
 
Logic iliyopo ni kwamba kifurushi kinaisha kabla ya huo muda ilhali hujatumia kufikia kuisha.

Tumia akili kufikiri.


Sijui umekula maharage ya wapi????


Usipanic mkuu relax,mleta mada amesema hivi...
"Tunawaomba TCRA wasimamie makampuni ya simu ili kama mteja amepewa kifurushi cha masaa 24, basi apige simu kwa muda wa masaa 24 hata kama atayamaliza masaa hayo kwa mwezi mzima au zaidi"

Unaelewa maana yake lakini au unakurupuka tu!!??yani kwa mfano umepewa kifurushi cha masaa 24 aafu wewe unataka ukitumie mwezi mzima!!!hiyo haipo....ndio maana kuna kifurushi cha siku,cha wiki,na cha mwezi.kama unataka kutumia mwezi mzima basi jiunge na cha Mwezi.kuhusu matumizi sasa hiyo ni juu yako.kama unashinda anaangalia porno unafkiri kitaacha kuisha kabla ya muda wake??
 
Mimi sioni sababu ya mtu kujiunga na hizo sijui cheka, jirushe na nyingine ya tgo sijui nini vile, ikiwa sh 1000/= naweza itumia kwa masaa 24 kwanini isiwe hivyo mpaka nijiunge? huu ni wizi tu.
 
Kwani kabla hujajounga si wanakwambia kabisa kifurushi chako kitaisha lini?na unakubali wewe mwenyewe ndio unajiunga.sasa hapo wizi uko wapi?Acha kulalamika mambo ambayo hayana msingi mkuu.jifunze kusoma mkataba vizuri kabla huja-sign sio unakurupuka tu.

mkuu labla iyo kwa mitandao mingine lakini sio kwa voda wasio na fadhila
 
Back
Top Bottom