Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,347
- 3,033
Hii ndio hali ilivyo kwasasa to cut the story short ni yaleyale hayana tofauti ile riporti ya yule mwananchi mwenzetu aliepoteaga halafu akaokotwa viwanja vya Gymkhana Club
Japo badae alijistukia akasema kweli watanzania sio wajinga baada ya kuona kavurunda. Sasa tumerudi tena kulekule tulikotoka
KWA HALI HII KATIBA MPYA NI MUHIMU SANA
Hebu sikiliza huu upupu hata mtoto wa darasa la Saba hawezi kuelewa hii kitu
"TUNATAKA KATIBA MPYA"
Japo badae alijistukia akasema kweli watanzania sio wajinga baada ya kuona kavurunda. Sasa tumerudi tena kulekule tulikotoka
KWA HALI HII KATIBA MPYA NI MUHIMU SANA
Hebu sikiliza huu upupu hata mtoto wa darasa la Saba hawezi kuelewa hii kitu
"TUNATAKA KATIBA MPYA"