Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 804
Habari zenu wanaJF? Humu ndani kuna mashushushu na makada wa chama cha babu, threads zao zimejaa uchochezi ambao haunatofauti na huu unaotumika kuhadaa wananchi juu eti ya Uhain wa kutaka kupindua serikali, watoto wa mafisadi a.k.a vifisadi vitoto mnajijua, tunawajua sasa acheni mambo yenu, kujeni na hoja za msingi lasivyo tutawaumbua!