Nahitaji Vifaa vya Ujenzi

Ujenzi wa nyumba ya ghorofa unataka, kisheria, ubuniwe na mtaalam kabla hujapata bulding permit. Considerations for Building Permit applications hazitambui designing zilizookotwa okotwa mitandaoni.

Acha usani.
 
Wakuu kwa wale wenye uzoefu katika shughuli za ujenzi hebu tusaidiane hapa. Nahitaji kujua wapi naweza kununua nondo imara kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja na bei yake ikoje kwa tani (eg za mm 8, 12 na 16). Je kweli kokoto nyeupe za mawe hazifai mpaka zile nyeusi tu za Lugoba na Msolwa? Je naweza kupata wapi tofali imara za concreate au vibrated? Bei zake zikoje?
Natanguliza shukrani zangu wakuu.

Na mimi kidogo nina kaproject kama kako, hila kama wenzangu walivyo zungumza humu nondo zinauzwa kwa tani bila kujali size yake, na nondo nyigi nzuri zinatoka nje hasa Uturuki, Malyasia, Africa Kusini hakuna nondo zinazo toka Urusi wale warusi pale TABATA nondo wanazo huza zinatoka Uturuki na bei zake kwa tani na kama walivyo quote wenzangu, hila mimi nilkuwa nataka kukupa ushauri kwamba kwa unafuu wa bei kanunue nondo katika kiwanda cha wahindi opposite na Kioo limited, nondo zao zinatengenezwa kutokana na billets kutoka nje kwa hiyo ni za kiwango cha hali ya juu sana na demand yake hapa nchini ni kubwa kwa sasa hivi wamesimamisha kidogo kutokana na kusubili mali ghafi kutoka nje.

Kuhusu kokoto mimi natumia kokote ngumu kama mawe na siyo ubuyu, au za kutoka msolwa au nini. Hizi za msolwa packing density yake ni kubwa sana na sidhani unahitaji kitu kama hicho kwenye ujenzi wako, nyenzo nyingine za ujenzi zinapatikana kirahisi tu.
 
Ujenzi wa nyumba ya ghorofa unataka, kisheria, ubuniwe na mtaalam kabla hujapata bulding permit. Considerations for Building Permit applications hazitambui designing zilizookotwa okotwa mitandaoni.

Acha usani.

Mkuu, Ni ujenzi wa nyumba YOYOTE! Lakn kijasiriamali ss watu wa kawaida tunafanya vyovyote iwezekanavyo kuweza kupunguza gharama, na asilimia 98 ya nyumba Tanzania zimejengwa "Kisanii"! Au wewe hautumii mafundi wa mitaani?..basi wewe si mwenzetu!
 
Wakuu mimi nina shida na milunda na mbao za kushikia slab zilizotumika ili kupunguza gharama za huu ujenzi. Mwenye kujua walikomaliza kujenga ghorofa anijulishe ili niweze kupunguza gharama. Asanteni.
 
kuna kampuni za kichina wankodisha vyuma vya kushikilia slabs,kama upo Dar.sikumbuki jina la kampuni ila ulizia wakandarasi wa majengo.wasiliana na LAT atakushauri vizuri.
 
Ujenzi wa nyumba ya ghorofa unataka, kisheria, ubuniwe na mtaalam kabla hujapata bulding permit. Considerations for Building Permit applications hazitambui designing zilizookotwa okotwa mitandaoni.

Acha usani.

Mbona hasira tena? Sasa hapa unamwambia nani mkuu
 
Wakuu jee mmefikia wapi kwenye ujenzi.

Nina swali jee hizi nondo za 16mm zinapatikana kwa gharama gani kwa tani moja?
 
Wakuu jee mmefikia wapi kwenye ujenzi.

Nina swali jee hizi nondo za 16mm zinapatikana kwa gharama gani kwa tani moja?

Tunasonga mbele mkuu. Nondo za mm 16 mara ya mwisho kununua (Novemba 2011) zilikuwa around 1.6 mil kwa tani kwa wale jamaa wa KAMAKA pale Tabata relini. hawa jamaa ndo wana bei za chini kuliko wote nchini Tanzania na wanauza vitu vyenye ubora mzuri.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
wakuu gharama ya mabati ya ando ni kiasi gani nasikia hayapauki au mabati gani ni imara .
 
Wakuu kwa wale wanaofahamu maduka ya vifaa vya umeme kwa DAR, hasa yanayouza products imported from Europe au Australia. Nahitaji soketi, swichi na taa na vishikio vyake.
Asanteni
 
Wakuu kwa wale wanaofahamu maduka ya vifaa vya umeme kwa DAR, hasa yanayouza products imported from Europe au Australia. Nahitaji soketi, swichi na taa na vishikio vyake.
Asanteni

Mkuu jaribu pale Clock Tower kuna duka kubwa wanauza vifaa vya umeme kutoka Ufaransa japo bei zao zimeenda shule kidogo
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Mkuu,
Kwa kigamboni wapi naweza kupata vifaa vya ujenzi kama nondo, cement, kokoto, nk kwa bei rahisi?

Au ninunue tu huku mjini kisha nivushe??

Napo wapi wanauza cheaper?
 
Mkuu,
Kwa kigamboni wapi naweza kupata vifaa vya ujenzi kama nondo, cement, kokoto, nk kwa bei rahisi?

Au ninunue tu huku mjini kisha nivushe??

Napo wapi wanauza cheaper?

Mkuu inategemea na idadi ya nondo unazohitaji. Kama unataka nyingi kanunue pale KAMAKA Tabata relini wanaua kwa bei ya jumla kwa bei rajhisi zaidi kuliko kwingine kokote ndani ya ardhi ya Tanzania. Ubora pia ni assured. Ukifika pale wana almost kila kitu cha ujenzi unachohitaji na kwa bei nafuu. Fika pale kisha utaamua mwenyewe. Kwa kokoto unataka nyeusi (kama ni ghorofa) au nyupe (kwa nyumba ya chini)? Simenti popote tu ukifika maeneo ya karibu na site kwako waweza kununua maana bei zinafanana almost kila kona kwa DAR.
 
Mkuu Mazingira , hongera, naona unaulizia vifaa vya umeme tayari. Vipi ujenzi umekwendaje? Kuna uzoefu gani wa kushare na mambers wa jukwaa hili? hasahasa kuhusu mafundi na bei za vifaa.
Natafuta fundi reliable mwenye uzoefu na ujenzi wa ghorofa, kazi inaanza November.
 
Wakuu Roofing inakwenda vipi? Jee wale mliotumia south africa roof tile bei ikoje?

Roofing inatofautina sana mkuu kutoka mtu mmoja kwenda mwingine kutokana na roofing material alizotumia. Binafsi nimetumia decra tiles with NewZealand standards but made in Malaysia, kutoka Nabaki Afrika. Zimekwangua mpaka chenji. Imebidi nitulie kukusanya nguvu ya kumalizia finishing sasa.
 
Roofing inatofautina sana mkuu kutoka mtu mmoja kwenda mwingine kutokana na roofing material alizotumia. Binafsi nimetumia decra tiles with NewZealand standards but made in Malaysia, kutoka Nabaki Afrika. Zimekwangua mpaka chenji. Imebidi nitulie kukusanya nguvu ya kumalizia finishing sasa.

RMshauri, Nabaki Africa nimepachungulia juu juu tuu juzi. Kuna hadisi nasikia watu wanasema kwa nyumba ya 150SQM inaweza kula Million 20-30 jee hii habari ni kweli kaka? Kama kweli sasa itabidi tupige bati la south lol. Maana hapo sijaongea na madirisha, tiles chini na makolokolo mengine.
 
RMshauri, Nabaki Africa nimepachungulia juu juu tuu juzi. Kuna hadisi nasikia watu wanasema kwa nyumba ya 150SQM inaweza kula Million 20-30 jee hii habari ni kweli kaka? Kama kweli sasa itabidi tupige bati la south lol. Maana hapo sijaongea na madirisha, tiles chini na makolokolo mengine.
Mtanganyika ukipiga bati la msouth ni pm price zake
 
Back
Top Bottom