Hivi nikwanini tunawatesa hawa jamaa ?! Wapewe nchi yao tuuu. Wazanzibari wenye hadhi ya Urais wako wane(4), Huku bongoland wapo kibao wanakula good time, hata ubunge tunawapa buree kabisa. Hivi kwanini tunawaganda ? Waacheni wasepe.
Wimbo unajieleza wenyewe,huu muungano Tanganyika imevaa KOTI kama la WASIRA linawabana wa zanzibar halina usawa vishikizo havijafungwa sawasawa hivyo muungano huu wa serikali mbili visikizo viko ovyo sana kama koti la Wasira.Kama WASIRA baadaye alilekebisha koti lake na sisi tulekebishe koti letu kwa muungano wa serikali tatu hapo vishikizo vya koti vitakaa sawa.Hongera Zanzibar hongera Tanganyika ZIII WASIRA NA KOTI LAKO OYEE ESTER BULAYA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.