Unatumia itel!??
Ana tofaut ipi na rais wa tanganyika?Huyo Rais wa USA ni kama ametumwa kuiharibu Dunia ana matamko ya ajabu ajabu sana eti Haiti na African Nation ni shithole nachoshangaa ni Botswana pekee kwa Africa ndio imejitokeza kumwambia balozi ajibu hoja ya Rais wake kama na wao ni shit hole Nation watoe tamko lao...
Kwani kauli za Yohana na Trump zina tofaut ipiTutabisha tu lakini trust me anayoyasema trump jukwaani, ndio yaleyale wanayoyasema wazungu kwenye faragha zao. Hapa alichofanya Trump ni kuuondoa unafiki na kuweka mambo wazi. So kama kuna hatua zozote tunazopaswa kuzichukua, si juu ya Trump pekee bali ni jamii yake yote.
Yohana kichwani questionableKwani kauli za Yohana na Trump zina tofaut ipi
mimi pamoja na Mh. Rais wangu tunakuunga mkono!Kwa yanayofanyika
Gambia
Tanzania
Uganda
Burundi
C.Africa
Zambia
Congo
Ni sawa kuitwa shithole countries
Na trump ni hivyo hivyo, wenzetu hawana kuficha, wana saikoloji wamemshauri Daktari wake amfanyie tathmini ya hali ya akili yake!Yohana kichwani questionable
Ongeza Somalia, DRC, South Sudan, Libya, Zimbabwe na maelfu wa waafrika wanaokimbia "shithole countries" zao kutoka pembe zote za bara la afrika na kufia baharini wakijaribu kufika ulaya.Kwa yanayofanyika
Gambia
Tanzania
Uganda
Burundi
C.Africa
Zambia
Congo
Ni sawa kuitwa shithole countries
Wafanya biashara pia tunatabia ya kumfuata alipo ! Iwe kwa gari au ndege!Nimehesabu gari 50