uhaale
JF-Expert Member
- Sep 25, 2012
- 300
- 151
BAHAZI ya watu kama nyie inatakiwa muwe darasani.Kila inchi ujivunia kuwa na Jeshi imara hasa likiwa na makomandoo shupavu na Hodari lakini Kwa makomandoo hawa napata mashaka,
Show waliyotuonyesha Jana 55yrs uhuru Naona Kama imerudiwa vile ishawahi kufanyika mala Kazaa nyuma vile,,,?
1.kupigana Kwa fimbo
2.Kuvunja matofari
3. karate
4.kulalia misumari.
pia hata bahazi ya washiriki ni walewale Hulu bahazi yao wakionyesha kushindwa bahazi us mambo. Nilichokiona zaidi walikuwa wanafanya maigizo ambayo tena niwaigizaji wabongo movie sio wakina rambo wa Hollywood.
Kwa mtazamo wangu tuepuke kuonyesha uzaifu wetu mbele za watu watatuvamia tutajuta.
Wale makomandoo hata kwetu uswahilini wapo wanaweza kufanya vilevile tena na nyongeza Juu yakutembea na baiskeli ya taili moja na ngongoti.
Kwa Mimi nalipongeza Kwata la kimyakimya angalau wameniburudisha na kuonyesha Jeshi letu ni makini zaidi.