Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,254
- 34,205
Kuna moto unafuka kwenye top layer ya Ukraine. Taarifa zinasema Zelensky na timu yake wamemuwekea! Ifahamike Zelensky na Zaluzny hawapatani kwa sasa.
Acha tuone huu mtanange utafika wapi.
Soma zaidi:
Acha tuone huu mtanange utafika wapi.
Soma zaidi:
Zelensky kumtimua Mkuu wa Majeshi baada ya counter offensive kufeli!
Baada ya kaunta ofensivu ichwara kufeli vibaya mno sasa zelensky kamgeukia mkuu wa majeshi! Inasemekana Zalusni alikua hataki kabisa kaunta ofensivu ianze kipindi hiki ila zelensky kwa kufwata oda ya mabwana zake akafosi ianze! Baada ya matokeo mabovu sasa mkuu wa majeshi kuonyeshwa mlango wa...
www.jamiiforums.com