Gazeti la habari Leo limekuwa kama la Udaku kwa kuweka vichwa vya habari vinavyojaribu kumchafua Dr Slaa lakini nadhani nao wanataka kukataliwa na kuonekana Vipeperushi kama RAI, Mtanzania, na Changamoto
Yaani Habari leo wanadhani wao ni UHURU la Chama, Hakika wanatia Aibu sana
Jana waliandika
Slaa amsifu mchumba, amuonya Makamba
Leo wameandika
Slaa awakutanisha wachumba zake jukwaa moja kama sijakosea maana sina gazeti hapa
ni Aibu kwa chombo cha habari cha serekali kinachotarajiwa kuwa huru na fair kwa wagombea wote
Yaani Habari leo wanadhani wao ni UHURU la Chama, Hakika wanatia Aibu sana
Jana waliandika
Slaa amsifu mchumba, amuonya Makamba
Leo wameandika
Slaa awakutanisha wachumba zake jukwaa moja kama sijakosea maana sina gazeti hapa
ni Aibu kwa chombo cha habari cha serekali kinachotarajiwa kuwa huru na fair kwa wagombea wote