MJENGA
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 884
- 848
Sote tunaikumbuka vema shutuma nzito aliyoitoa Vicent Nyerere kwa Mheshimiwa Mkapa kuhusu kifo cha Baba wa taifa Mwl. Nyerere. Hizo zilikuwa hisia, naweza kusema, ambazo kama mzee Mkapa angembuluza Vicent mahakamani hakika kijana angekuwa kwenye wakati mgumu.
Sasa, ni hivi karibuni sote (pamoja na Vicent Nyerere) tumesikia jinsi Tundu Lissu alivyoitumia demokrasia na uhuru wa maoni vibaya na kumshambulia Nyerere kwa kuonesha kuwa hakuwa chochote zaidi ya ujanjaujanja tu. Nina hakika Vicent ulimsikia huyu jamaa akimtusi baba yako. Sasa ningependa kusikia unakuja na kauli/msimamo gani dhidi ya Lissu?. Maana kwa Mkapa ulijivisha ujasiri kana kwamba ulikuwa na uhakika na kile ulichokuwa unakisema. Kwa upande wa Lissu unasemaje?
Sasa, ni hivi karibuni sote (pamoja na Vicent Nyerere) tumesikia jinsi Tundu Lissu alivyoitumia demokrasia na uhuru wa maoni vibaya na kumshambulia Nyerere kwa kuonesha kuwa hakuwa chochote zaidi ya ujanjaujanja tu. Nina hakika Vicent ulimsikia huyu jamaa akimtusi baba yako. Sasa ningependa kusikia unakuja na kauli/msimamo gani dhidi ya Lissu?. Maana kwa Mkapa ulijivisha ujasiri kana kwamba ulikuwa na uhakika na kile ulichokuwa unakisema. Kwa upande wa Lissu unasemaje?