Vibaby vya Salim Kikeke

mizigoooo tena ya....
wanaume wangapi wako kama Salim. kwanza Salim angebadilisha na nationality kabisa, anawapa sifa za bure AMBAZO HAWANA wanaume wa kiafrika
Mimi bado nasubiri mrejesho wa mambo yetu yale hata kama itapita miaka hamsini, nitasubiri tu!
 
mizigoooo tena ya....
wanaume wangapi wako kama Salim. kwanza Salim angebadilisha na nationality kabisa, anawapa sifa za bure AMBAZO HAWANA wanaume wa kiafrika
Mswahili akipata mat*k* hulia mbwataa...hivi unawadharau wanaume wa kiafrika wakati wewe umetokana na tone la maji la mwanaume wa kiafrika,tena si ajabu na anaekuvua nguo ni mweusi kama mkaa acha dharau wewe kama ushawahi kuwa na bwana mzigo usitufananishe nae,wengine kuna wanawake wanatupenda na kutuheshimu zaidi ya hyo wifi yako kuwa na hikmah.
 
Mswahili akipata mat*k* hulia mbwataa...hivi unawadharau wanaume wa kiafrika wakati wewe umetokana na tone la maji la mwanaume wa kiafrika,tena si ajabu na anaekuvua nguo ni mweusi kama mkaa acha dharau wewe kama ushawahi kuwa na bwana mzigo usitufananishe nae,wengine kuna wanawake wanatupenda na kutuheshimu zaidi ya hyo wifi yako kuwa na hikmah.

heeh, kuna watu waliotoka kwa Idd amin iwe mie....

hahaaa UNFORTUNATELY sijawahi kuguswa na muafrika. Salim angetaka kunigusa hata nisingewaza Mara mbili. ndo hivyo kashachukuliwa maskini

. najua wapo wengine ila wachache mnoooo. kisa cha kupigana vikumbo wakati wamejaa mabara mengine hahaa

hongera kwa kupendwa mwaya, we need happy people. lakini ndo hivyo kina Salim wanavutia MNOOOO...hata mkeo anamuota hahaaa
 
housegirl ungewasikia wanaume wa kizungu (haswa hao wanaokuja kufanyakazi Africa) wanavyowaongelea wanawake kama wewe aibu.
I don't know what you're talking about.

kwanza watu wengi humu wana such negative experiences na watu wa mabara mengine huwa nabaki kushangaa the hate.

I don't know what type of people you've come across. go meet more people.
 
kwanza I love this guy. Very handsome. Lovely accent. Sauti Sasa!

Kama hiyo haitoshi ona hiiView attachment 337638 View attachment 337639

how hot is this man right now!

Amebarikiwa baby anayekula kazi ya mikono yake.

Baby mwenyewe ndo huyuView attachment 337640


Wifi katulia jamani. Bonge la smile. halafu mimi pia member wa kuchanganya damu, you know?

View attachment 337641

Mnakaona kaBaby kadogo hako hapo? Ndo kanatolewa kwa Mara ya kwanza kuonja kipupwe cha LondonView attachment 337642

Kanaitwa baby Loan


AaawwwwView attachment 337643
Safii sanaa
 
Back
Top Bottom