Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
ni vema jamii kujua huyu jamaa yetu(kioo cha jamii) anasumbuliwa na nini kwa mda mrefu hivyo.
ni vema jamii kujua huyu jamaa yetu(kioo cha jamii) anasumbuliwa na nini kwa mda mrefu hivyo.
mwombe MUNGU AKUSAMEHE KWANI KABLA HUJAFA HUJAUMBIKAAnaumwa ugonjwa wakupenda chini!
hivi kweli anaumwa na nini ?
doctor-patient confidentiality..
pole sana vengu,jamani wana jf naomba munioneshe picha ya vengu ili niweze kumjua coz mm nilikuepo masomoni kwa takriban miaka nane.