Seto
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 953
- 53
siku nyingi hiki kitu nakiona sikupata pakusemea wacha leo nikiseme.....
watu wanadai eti valentine day si lazima umpe zawadi mpenzi wako eti hata dada, kaka, mama au baba?...... Mbona uongo mtakatifu huu...
chanzo cha siku hii NI ndoa ALIZOKUWA ANAFUNGISHA HUYO MTAKATIFU VALENTINE wakati Mkuu wa ROMA alikataza,,, na ndoa maana yake ni mume na mke, watu wamefanya uchakachuaji mpaka dada, kaka, na mama sijui wanaingizwa....
poleni.
watu wanadai eti valentine day si lazima umpe zawadi mpenzi wako eti hata dada, kaka, mama au baba?...... Mbona uongo mtakatifu huu...
chanzo cha siku hii NI ndoa ALIZOKUWA ANAFUNGISHA HUYO MTAKATIFU VALENTINE wakati Mkuu wa ROMA alikataza,,, na ndoa maana yake ni mume na mke, watu wamefanya uchakachuaji mpaka dada, kaka, na mama sijui wanaingizwa....
poleni.