Uzito wa dada zetu na wachumba/wake zetu

VAN HEIST

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
1,434
608
attachment.php
 

Attachments

  • 1416258617665.jpg
    1416258617665.jpg
    20.9 KB · Views: 1,569
pia huwa waongezeka maradufu wakivaa makorokoro kibao...titi la bandia, kalio la bandia, nywele za bandia n.k
 
pia huwa waongezeka maradufu wakivaa makorokoro kibao...titi la bandia, kalio la bandia, nywele za bandia n.k
Hapo bado hajaongeza na fuko lililojaa makorokoro begani, charger na simu la Samsung Galaxy kwa ajili ya Chatting
 
Hapo bado hajaongeza na fuko lililojaa makorokoro begani, charger na simu la Samsung Galaxy kwa ajili ya Chatting

na bado uzito wa soli ya kiatu, maana kuna wadada huwa wanavaa kiatu kina soli kubwa utadhani foundation ya nyumba...
 
Back
Top Bottom