UZINDUZI WA KITABU: Lissu asuswa na kupuuzwa na wanaharakati wenzake

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Sep 9, 2020
6,880
12,320
Nawasalimu kwa jina la jamhuri. Ama baada ya salam sasa niende kwenye mada husika. Kama ilivyozoeleka huko nyuma, swala la uzinduzi wa vitabu hasa kwa viongozi wetu lilikuwa ni la uwazi, ambapo kila mtu bila kujali vyama alilifatilia mwanzo mwisho.

Wakati wa uzinduzi wa kitabu cha hayati mzee Mkapa watu mbali mbali nchini, na nje ya nchi walifatilia na wengine kuandika na hata kuweka picha na video za uzinduzi huo.

Kadhalika na kwa mzee wetu Mwinyi wakati wa uzinduzi wa kitabu chake watu mbali mbali walifatilia uzinduzi huo na kupelekea mechi kubwa ya Yanga na Simba kuahirishwa kutokana na tukio hilo, pia watu wa kada mbali mbali, vyama mbali mbali na mataifa mbalimbali walifatilia wakiwemo walioandika hapa yale yaliozungumzwa au kunakiri baadhi ya maneno yalioandikwa ndan ya kitabu chake hapa JF. Lakini sasa naona imekuwa tofauti kabisa kwa huyu jamaa ambaye ni raisi wa mioyo ya wanachadema.

Toka mipango ya uzinduzi inafanyika na mpaka uzinduzi wenyewe kufanyika jana, bado watu au naweza kusema wanahatakati wenzie hawakuonesha support yoyote kwake, kuanzia katika ufatiliaji hadi uandikaji wa kilichozungumzwa wakati wa uzinduzi kama ilivyofanyika kwa wazee wetu niliowataja hapo juu.

Haijulikani tatizo ni nchi aliyokwenda kuzindulia au kwa vile uzinduzi wenyewe ulikosa baraka za mwenyechama ambae ndio mwenyekiti?

Ikumbukwe kuwa Tundu Lisu anaonesha wazi kumkubali "bimkubwa" na yupo tayari kufanya nae kazi, kitu ambacho viongozi wenzake wanaona kama vile ni msaliti na ni tishio kwa masilahi yao ya kisiasa, kwahiyo wameshaanza kumtelekeza kiaina.

Mwanaharakati aliefatilia uzinduzi wa Kitabu cha Lissu na kilichongelewa kwenye uzinduzi atujuze hapa.
 
Huwezi kumlinganisha lissu na watu wengine, tundu lissu yule ni international yule anafuatiliwa na dunia nzima, sio Tanzania pekee ndo maana kitabu chake amekizindulia nje ya nchi, tundu lissu ni chuma kile, hawa wanaharakati wa hapa Tz, ni wanaharakati wa kipindi fulani tu hawana msimamo,
Tundu lissu siku zote ni mshindi na hamna mwanasiasa wa kumlinganisha na tundu lissu kwa sasa hapa Africa!!!
Yeye taarifa zake utazikuta kwenye vyombo vya kimataifa kama CNN, Aljzeera,KTN news, GTCV, BBC na vyombo vingine!! Hivyo ndugu yangu wewe muogope tundu lissu
 
Kitabu cha Mh. TUNDU lISSU kimezinduliwa huko Kenya . watu maarufu waliokuwepo katika uzinduzi huo ni pamoja na Msalia Mdavadi mwanasiasa marufu huko Kenya tafauti na vitabu vya watu wengine mashuhuri waliozindua vitabu vyao cha Tundu Lissu kimetia fora kwa sababu softcopy pekee zilizoisha nunuliwa ni zaidi ya copy 3000, sijui hardcopy ametoa ngapi na ambazo zitavamiwa tu zitaisha kwa maana ingine kitabu cha Tundu Lissu ni hotcake kama hisa za CRDB kwenye soko la hisa ambazo hata counter huwa hazifiki zinanunuliwa juu kwa juu.

Hii ni kutokana na kitabu hicho kimejaa matukio ikiwa pamoja na kupigwa risasi 16 halafu bado anaishi. Pia wameshauri Mh. Lissu awe kivutio cha utalii nchini kwake waje watalii wafike wamwone mtu aliyepigwa risasi 16 bado akapona.
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri. Ama baada ya salam sasa niende kwenye mada husika. Kama ilivyozoeleka huko nyuma, swala la uzinduzi wa vitabu hasa kwa viongozi wetu lilikuwa ni la uwazi, ambapo kila mtu bila kujali vyama alilifatilia mwanzo mwisho. Wakati wa uzinduzi wa kitabu cha hayati mzee Mkapa watu mbali mbali nchini, na nje ya nchi walifatilia na wengine kuandika na hata kuweka picha na video za uzinduzi huo. Kadhalika na kwa mzee wetu Mwinyi wakati wa uzinduzi wa kitabu chake watu mbali mbali walifatilia uzinduzi huo na kupelekea mechi kubwa ya Yanga na Simba kuahirishwa kutokana na tukio hilo, pia watu wa kada mbali mbali, vyama mbali mbali na mataifa mbali mbali walifatilia wakiwemo walioandika hapa yale yaliozungumzwa au kunakiri baadhi ya maneno yalioandikwa ndan ya kitabu chake hapa JF. Lakini sasa naona imekuwa tofauti kabisa kwa huyu jamaa ambaye ni raisi wa mioyo ya wanachadema. Toka mipango ya uzinduzi inafanyika na mpaka uzinduzi wenyewe kufanyika jana, bado watu au naweza kusema wanahatakati wenzie hawakuonesha support yoyote kwake, kuanzia katika ufatiliaji hadi uandikaji wa kilichozungumzwa wakati wa uzinduzi kama ilivyofanyika kwa wazee wetu niliowataja hapo juu. Haijulikani tatizo ni nchi aliyokwenda kuzindulia au kwa vile uzinduzi wenyewe ulikosa baraka za mwenyechama ambae ndio mwenyekiti? Ikumbukwe kuwa Tundu Lisu anaonesha wazi kumkubali "bimkubwa" na yupo tayari kufanya nae kazi, kitu ambacho viongozi wenzake wanaona kama vile ni msaliti na ni tishio kwa masilahi yao ya kisiasa, kwahiyo wameshaanza kumtelekeza kiaina. Mwanaharakati aliefatilia uzinduzi wa kitabu cha Lisu na kilichongelewa kwenye uzinduzi atujuze hapa.
Ndugu, elimu yako ni ya mashaka sana. Hata umuhimu aya huujui!!
 
Weye una mimba yeye anazindua kitabu.Ni mbingu na ardhi.Hamfanani.Shut up your bowl,fella!
Nilikuambia kule kwenye uzi mwingine kwamba hizi hasira zielekeze kutafuta hela ili kukwamua ukoo wako katka umasikini!

Wanaccm hatujawahi kukomolewa kwa hasira zinazotokana na umasikini kama hizi zako!

Sisi zetu mdogomdogo huwa tuwatandika kwenye box la kura tu!
 
Nilikuambia kule kwenye uzi mwingine kwamba hizi hasira zielekeze kutafuta hela ili kukwamua ukoo wako katka umasikini!

Wanaccm hatujawahi kukomolewa kwa hasira zinazotokana na umasikini kama hizi zako!

Sisi zetu mdogomdogo huwa tuwatandika kwenye box la kura tu!
Mwenzio naogelea kwenye utajiri.Sina ujinga kama wa kwako.Siyo kama weye ukitikisa kichwa tu vumbi linatimka.Rot in Shida,paka weye!😝😝😝😝😝
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri. Ama baada ya salam sasa niende kwenye mada husika. Kama ilivyozoeleka huko nyuma, swala la uzinduzi wa vitabu hasa kwa viongozi wetu lilikuwa ni la uwazi, ambapo kila mtu bila kujali vyama alilifatilia mwanzo mwisho. Wakati wa uzinduzi wa kitabu cha hayati mzee Mkapa watu mbali mbali nchini, na nje ya nchi walifatilia na wengine kuandika na hata kuweka picha na video za uzinduzi huo. Kadhalika na kwa mzee wetu Mwinyi wakati wa uzinduzi wa kitabu chake watu mbali mbali walifatilia uzinduzi huo na kupelekea mechi kubwa ya Yanga na Simba kuahirishwa kutokana na tukio hilo, pia watu wa kada mbali mbali, vyama mbali mbali na mataifa mbali mbali walifatilia wakiwemo walioandika hapa yale yaliozungumzwa au kunakiri baadhi ya maneno yalioandikwa ndan ya kitabu chake hapa JF. Lakini sasa naona imekuwa tofauti kabisa kwa huyu jamaa ambaye ni raisi wa mioyo ya wanachadema. Toka mipango ya uzinduzi inafanyika na mpaka uzinduzi wenyewe kufanyika jana, bado watu au naweza kusema wanahatakati wenzie hawakuonesha support yoyote kwake, kuanzia katika ufatiliaji hadi uandikaji wa kilichozungumzwa wakati wa uzinduzi kama ilivyofanyika kwa wazee wetu niliowataja hapo juu. Haijulikani tatizo ni nchi aliyokwenda kuzindulia au kwa vile uzinduzi wenyewe ulikosa baraka za mwenyechama ambae ndio mwenyekiti? Ikumbukwe kuwa Tundu Lisu anaonesha wazi kumkubali "bimkubwa" na yupo tayari kufanya nae kazi, kitu ambacho viongozi wenzake wanaona kama vile ni msaliti na ni tishio kwa masilahi yao ya kisiasa, kwahiyo wameshaanza kumtelekeza kiaina. Mwanaharakati aliefatilia uzinduzi wa kitabu cha Lisu na kilichongelewa kwenye uzinduzi atujuze hapa.
Ngoja siku mh, TAL akizindua hiko kitabu Dar uwanja wa Taifa uzidiwe mafuriko ya watu, ndo utajua hujui
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri. Ama baada ya salam sasa niende kwenye mada husika. Kama ilivyozoeleka huko nyuma, swala la uzinduzi wa vitabu hasa kwa viongozi wetu lilikuwa ni la uwazi, ambapo kila mtu bila kujali vyama alilifatilia mwanzo mwisho. Wakati wa uzinduzi wa kitabu cha hayati mzee Mkapa watu mbali mbali nchini, na nje ya nchi walifatilia na wengine kuandika na hata kuweka picha na video za uzinduzi huo. Kadhalika na kwa mzee wetu Mwinyi wakati wa uzinduzi wa kitabu chake watu mbali mbali walifatilia uzinduzi huo na kupelekea mechi kubwa ya Yanga na Simba kuahirishwa kutokana na tukio hilo, pia watu wa kada mbali mbali, vyama mbali mbali na mataifa mbali mbali walifatilia wakiwemo walioandika hapa yale yaliozungumzwa au kunakiri baadhi ya maneno yalioandikwa ndan ya kitabu chake hapa JF. Lakini sasa naona imekuwa tofauti kabisa kwa huyu jamaa ambaye ni raisi wa mioyo ya wanachadema. Toka mipango ya uzinduzi inafanyika na mpaka uzinduzi wenyewe kufanyika jana, bado watu au naweza kusema wanahatakati wenzie hawakuonesha support yoyote kwake, kuanzia katika ufatiliaji hadi uandikaji wa kilichozungumzwa wakati wa uzinduzi kama ilivyofanyika kwa wazee wetu niliowataja hapo juu. Haijulikani tatizo ni nchi aliyokwenda kuzindulia au kwa vile uzinduzi wenyewe ulikosa baraka za mwenyechama ambae ndio mwenyekiti? Ikumbukwe kuwa Tundu Lisu anaonesha wazi kumkubali "bimkubwa" na yupo tayari kufanya nae kazi, kitu ambacho viongozi wenzake wanaona kama vile ni msaliti na ni tishio kwa masilahi yao ya kisiasa, kwahiyo wameshaanza kumtelekeza kiaina. Mwanaharakati aliefatilia uzinduzi wa kitabu cha Lisu na kilichongelewa kwenye uzinduzi atujuze hapa.
Ndugu yetu "Yahaya" busara ni NDOGO.....

Ndugu yetu "Yahaya" hekima ni NDOGO......

"YAHAYA" ana mdomo mcha mno.....
"YAHAYA" ni GRANDIER DELUDED......

Kwa ufupi ndugu "Yahaya" ni MGONJWA WA AK....I!!!

#KaziIendelee
#JMTKwanzaKablaYaYeyoteNaChochote
 
Back
Top Bottom