Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,712
Kwa nini hawa wake zetu, kabla ya kuolewa wanakuwa, watulivu sana na heshima, na adabu juu, ukishaoa na kuweka ndani tu, wanajitutumua kwa viburi, ujeuri, dharau, upendo, masikilizano, utoweka na vitimbwi juu, kwa nini inakuwa hivi, mpaka inatokea kujuta!!! Mods naomba mnilindie uzi wangu, pia angalizo kama una comments unaweza kupita tu, sio lazima ukoment NAWASILISHA.