Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Hee!! Huyo ni Ronaldo au Gaucho?
Mimi ninafikiri huyu hapa kwa upande wa hiyo SI SI EMU YENU NDIO HUYU HAPA NA KIPANYA WAKEuyu ndio anaweza chukua hii tanzagiza 2015,nishafafanua
namtaka mi na wewe,kubali au ukatae,mgombea atakaopitishwa na CCM ndio President 2015
muda mbado.View attachment 50012uyu ndie tunamuitaj 2015
View attachment 50012uyu ndie tunamuitaj 2015
mnamhitaji na nani?View attachment 50012uyu ndie tunamuitaj 2015
Akiteuliwa kugombea NITAMUUNGA MKONO! CCM hawana mgombea wa kiti cha Rais mwaka 2015 zaidi yake. HATA MMOJA! Ila akiingia CHADEMA, tunaizika rasmi CCM!View attachment 50012uyu ndie tunamuitaj 2015
Kwasababu anajua kupiga dana dana.Fafanua basi!
atachukua nafasi ya maximo tenga au okwi?.