LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,121
- 27,127
Kwenye Biblia Takatifu na Qur'aan Tukufu, imeandikwa kwamba
" Mwenyezi Mungu anaweza kufanya kila kitu ".
Atheist ni watu wanao dai kwamba Mungu hayupo.
Je Mwenyezi Mungu anaweza kuumba watu na kuwaondoloea ufahamu wa ku appreciate kwamba yeye Mungu yupo?
Jibu ni NDIO? Kwanini? Kwa sababu Mungu anaweza kufanya kila kitu..
Kwa hivyo basi, uwepo wa Atheists unamtukuza zaidi Mungu kuliko Atheists wanavyo weza kufikiria...
Ikumbukwe kuwa Mwenyezi Mungu ameumba pia wanadamu ambao amewaondolea roho ya uoga. These are the kind of people who do not appreciate the danger of any kind of a dangerous thing that they are facing.
One of those people was His Majesty King David, the King Of the United Kingdom of Israel and Judah...
# the problem of Atheism has officially solved.
" Mwenyezi Mungu anaweza kufanya kila kitu ".
Atheist ni watu wanao dai kwamba Mungu hayupo.
Je Mwenyezi Mungu anaweza kuumba watu na kuwaondoloea ufahamu wa ku appreciate kwamba yeye Mungu yupo?
Jibu ni NDIO? Kwanini? Kwa sababu Mungu anaweza kufanya kila kitu..
Kwa hivyo basi, uwepo wa Atheists unamtukuza zaidi Mungu kuliko Atheists wanavyo weza kufikiria...
Ikumbukwe kuwa Mwenyezi Mungu ameumba pia wanadamu ambao amewaondolea roho ya uoga. These are the kind of people who do not appreciate the danger of any kind of a dangerous thing that they are facing.
One of those people was His Majesty King David, the King Of the United Kingdom of Israel and Judah...
# the problem of Atheism has officially solved.