Uwanja wa Taifa

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Tanzania imekosa mapato ambayo ingeyapata kama timu zingeukodi uwanja huo kwa ajili ya kujiandaa na mashindano ya Kombe la Dunia yatakayofanyika Afrika kusini kesho.
habari zilizotufikia kutoka vyanzo vyetu vya habari hii vinasema kuwa kuna timu imeurudisha uwanja huo na kuapa kuwa haitaukodi tena kwa maana Tz isahau kuwa uwanja huo kutatokea timu itaukodi ,maana yake watapakazia dunia nzima.

Kilichotokeaa timu hio ilikuwa imeanza mazoezi na ni siku ya mwanzo nyakati za usiku baada ya mataa kuwashwa kulitokea wadudu kibao ,yaani senene au kumbikumbi kwa kwa lugha za walaji kiasi ya kusababisha wacheza wavae mask ili kuwazuia wasiingie midomoni na puani kwa jinsi walivyokuwa wengi.

Hawajakaa vizuri mara umeme umezimwa mara umewashwa ,mara umezimwa tena ,akatafutwa anaehusika na majenereta ikajibiwa kuwa hayupo na haijulikani funguo anazo nani.
Jamaa wakaongozwa kwa tochi hadi vyumba vya kulalia na asubuhi yake wakatafuta ndege na kuelekea kusiko julikana.
 
usijekuwa na mdomo mbaya bwana, weka kisa cha kweli, vya kufikirika hivi watu wengine wanakuwa na midomo mibaya.
 
kipindi cha kamatakamata ya kodi miaka ile, kuna wajamaa walijifanya wamebeba maiti (mwenzao aliyekuwa ana act) ili wakwepe kusimamishwa na kizingiti cha mgambo wa kukamata kodi, walipofika mbeleni baada ya kufanikiwa kuachwa, jamaa akakutwa kafa kweli, hapo sasaaaaaaa.
 
Tanzania imekosa mapato ambayo ingeyapata kama timu zingeukodi uwanja huo kwa ajili ya kujiandaa na mashindano ya Kombe la Dunia yatakayofanyika Afrika kusini kesho.
habari zilizotufikia kutoka vyanzo vyetu vya habari hii vinasema kuwa kuna timu imeurudisha uwanja huo na kuapa kuwa haitaukodi tena kwa maana Tz isahau kuwa uwanja huo kutatokea timu itaukodi ,maana yake watapakazia dunia nzima.

Kilichotokeaa timu hio ilikuwa imeanza mazoezi na ni siku ya mwanzo nyakati za usiku baada ya mataa kuwashwa kulitokea wadudu kibao ,yaani senene au kumbikumbi kwa kwa lugha za walaji kiasi ya kusababisha wacheza wavae mask ili kuwazuia wasiingie midomoni na puani kwa jinsi walivyokuwa wengi.

Hawajakaa vizuri mara umeme umezimwa mara umewashwa ,mara umezimwa tena ,akatafutwa anaehusika na majenereta ikajibiwa kuwa hayupo na haijulikani funguo anazo nani.
Jamaa wakaongozwa kwa tochi hadi vyumba vya kulalia na asubuhi yake wakatafuta ndege na kuelekea kusiko julikana.

SOURCE?

Ligi zenyewe za Ulaya ndio kwanza zimeisha jana rasmi, na bado fainali ya Champions League haijachezwa, hiyo timu iliyokuja kuweka kambi Tanzania ni ipi? Ambayo hata magazeti hayajaandika?

Kweli wabongo tumezoea vitu vya hovyo hovyo!
 
Jamaa amesema ni tetesi ila nimependa mfano wa mwana wa mungu....
Kwa hali ya hewa ya sasa DSM jambo kama hilo kutokea ni wazi kabisa..Huenda Mwiba ni mmoja kati ya wale wanaona mbali..
 
Tatizo hamjui au hamna kalenda ,ndio maana yake. Hivi mnaelewa kuwa timu za Taifa zinazoshiriki kombe la dunia karibu zitamaliza na kufunga kambi za mazoezi ? Kwani mechi zikianza kunakuwa na instruction training tu za maelekezo na warmup nyepesi nyepesi ,chanzo changu cha habari kimestushwa na uelewa wenu kuwa hamjui kuwa kuna timu ilikuwa iwepo hapo kwa muda mrefu hadi kubaki kwa wiki tu kabla ya mechi kuanza.
Kwa taarifa yenu timu ya Ghana ndio ilikuwa ndio iwepo hapo na walikuja ila hayo yaliotokea ndio yaliowakimbiza ,chanzo kilidai.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom