Uwanja wa Mkapa ulijengwa kwa Tsh. Bilioni 60 sasa Mchina kuukarabati kwa Tsh. Bilioni 30!

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,174
Mwisho wetu sijui utakuwaje, maana naona kila mahali ni wizi, uporaji na ubadhirifu.

Haingii akilini uwanja ujengwe kwa Tsh. 60 Bill na miaka michache baadaye kuukarabati ugharimu nusu ya gharama za kuujenga!

Cha kujiuliza, ni nini haswa kitafanyika kwenye uwanja huo hata kumeza Tshs 30 Bill?

Sisi tunaona wenzetu kila mahali sasa ni fursa ya kuiba na kupora, na ndiyo maana kila siku wanabuni kodi mpya au kuongeza zile zilizopo ili kuuruzuku ufisadi wao.
 
Mwisho wetu sijui utakuwaje maana naona kila mahali ni wizi, uporaji na ubadhirifu.


Haingii akilini uwanja ujengwe kwa Tshs 60 Bill na miaka michache baadaye kuukarabati ugharimu nusu ya gharama za kuujenga!

Cha kujiuliza nini haswa kitafanyika kwenye uwanja huo hata kumeza Tshs 30 Bill.


Sisi tunaona wenzetu kila mahali sasa ni fursa ya kuiba na kupora na ndiyo maana kila siku wanabuni kodi mpya au kuongeza zile zilizopo ili kuuruzuku ufisadi wao
watanzania nyote ni wezi....hata wewe tukikupa nafasi utaiba, tena mnaojifanya kuongea sana ndio wezi wakubwa
 
Kaunda imewashinda wayauweza huo? Wizi mtupu.

Akodishwe mtu binafsi, akiingiza mapato asiingize shauri lake, serikali ile kodi na waweke "consultants, mtu kama Tenga hivi. Kuusimamia ubora tu.
Faiza we mwenyewe ukipata line hiyo
Lazima upige
Watanzania wote sisi ni wezi

Ova
 
Mwisho wetu sijui utakuwaje maana naona kila mahali ni wizi, uporaji na ubadhirifu.

Haingii akilini uwanja ujengwe kwa Tshs 60 Bill na miaka michache baadaye kuukarabati ugharimu nusu ya gharama za kuujenga!

Cha kujiuliza nini haswa kitafanyika kwenye uwanja huo hata kumeza Tshs 30 Bill.

Sisi tunaona wenzetu kila mahali sasa ni fursa ya kuiba na kupora na ndiyo maana kila siku wanabuni kodi mpya au kuongeza zile zilizopo ili kuuruzuku ufisadi wao
 
Kaunda imewashinda wayauweza huo? Wizi mtupu.

Akodishwe mtu binafsi, akiingiza mapato asiingize shauri lake, serikali ile kodi na waweke "consultants, mtu kama Tenga hivi. Kuusimamia ubora tu.
Mbona unazunguka sana we kibibi? Sema tu wazi, kwamba na wenyewe tuwape waarabu!
 
Wasimamizi wa nchi ni vilema wa akili.......unategemea upate maajabu gani?............inawezekana hata hawa viongozi wetu ni watoto wa Bahati mbaya kwa wazazi wao na hawakua wakiwategemea kuzaliwa labda tu ni watu walikulana kimasikhara ndio zikawa Bahati zao za kuzaliwa duniani .......wengine hata labda ilibidi wawe 👽 alien au popo bawa au hata zombie uko Mars... ..ni vile tu kabahatika........maana ukiangalia wanayo yafanya kama sio binadamu wa kawaida
 
Faiza we mwenyewe ukipata line hiyo
Lazima upige
Watanzania wote sisi ni wezi

Ova
Siibi hata senti moja, tena ntaupaisha kweli kweli, mtaona matimu ya Kimataifa kila siku yanakuja kuweka kambi dar hapo. Tena siyo ya mpira tu, mpira, rugby, hockey, netball, field sports.

Ntaufanya uwanja utakuwa busy sana, kiasi ambacho TFF wakibadili ratiba kidogo tu inabidi watafute uwanja mwengine na wananilipa siku hiyo kimkataba kabisa.

Isipokuwa, nnavyojielewa mimi, malipo yangu ni ya Kimataifa, Watanzania wataona naiba kumbe ni malipo yangu halali.

Dah tena hiyo ni kazi ndogo sana. Uwanja huo utakuwa unameremeta unaweza kula ice cream mpaka chooni.


Huo ni mradi wa kuingiza mabilioni kwa mwaka hapo na uwanja unakuwa safi saa zote. AlhamduliLlah, mimi kuishi nje ya Tanzania nchi zilizoendelea kumenipa faida kubwa ya kuwa na mitazamo tofauti.

 
Kama kawaida ya watanzania wenye uzuzu wa kiwoga,why usipeleke pale street battle ya kupinga matumizi hayo?,unakimbilia humu kwenye soft landing!,nani owner wa UDA nyosha kidole juu utambuliwe ,ni street battles ndizo zinaweza leta mabadiliko sio kulalama humu
 
Mwisho wetu sijui utakuwaje, maana naona kila mahali ni wizi, uporaji na ubadhirifu.

Haingii akilini uwanja ujengwe kwa Tsh. 60 Bill na miaka michache baadaye kuukarabati ugharimu nusu ya gharama za kuujenga!

Cha kujiuliza, ni nini haswa kitafanyika kwenye uwanja huo hata kumeza Tshs 30 Bill?

Sisi tunaona wenzetu kila mahali sasa ni fursa ya kuiba na kupora, na ndiyo maana kila siku wanabuni kodi mpya au kuongeza zile zilizopo ili kuuruzuku ufisadi wao.
Mkuu sana Rutashubanyuma
Bilion 60 ya 2004 ilikuwa sasa na $ 6,000,000/
Hebu zidisha kwa tsh. 2,400 ya sasa uone tofauti
 
Mwisho wetu sijui utakuwaje, maana naona kila mahali ni wizi, uporaji na ubadhirifu.

Haingii akilini uwanja ujengwe kwa Tsh. 60 Bill na miaka michache baadaye kuukarabati ugharimu nusu ya gharama za kuujenga!

Cha kujiuliza, ni nini haswa kitafanyika kwenye uwanja huo hata kumeza Tshs 30 Bill?

Sisi tunaona wenzetu kila mahali sasa ni fursa ya kuiba na kupora, na ndiyo maana kila siku wanabuni kodi mpya au kuongeza zile zilizopo ili kuuruzuku ufisadi wao.
Ni Bilioni 56 sio 60
 
Mwisho wetu sijui utakuwaje maana naona kila mahali ni wizi, uporaji na ubadhirifu.

Haingii akilini uwanja ujengwe kwa Tshs 60 Bill na miaka michache baadaye kuukarabati ugharimu nusu ya gharama za kuujenga!

Cha kujiuliza nini haswa kitafanyika kwenye uwanja huo hata kumeza Tshs 30 Bill.

Sisi tunaona wenzetu kila mahali sasa ni fursa ya kuiba na kupora na ndiyo maana kila siku wanabuni kodi mpya au kuongeza zile zilizopo ili kuuruzuku ufisadi wao
Kwani unadhani ni kwanini Bara la Afrika pamoja na mali ghafi zake lukuki za kila aina lakini bado linajulikana kama Bara masikini kuliko yote Duniani. ??!!

Sisi ni wabinafsi sana tena sana kila mtu anajifikiria yeye na familia yake na maswahiba wake tu !!

Ndio maana utaona nchi ndogo kama UAE 🇦🇪 yenye mafuta kidogo na haina mali ghafi yeyote kulinganisha na Nchi kama Nigeria Angola na nyingine nyingi tu lakini utaona wenzetu wapo juu sana kuliko sisi !!
Selfishness ndio tatizo letu kuu Africa kila mtu anafikiria Vyake tu sio Vyetu !!
 
Back
Top Bottom