Uwanja wa Amaan kukabidhiwa kwa serikali Desemba mwishoni mwaka huu

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Sep 6, 2020
741
479
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12 zitafanyika katika uwanja wa Amaan.

Rais Dk. Mwinyi amesema hayo leo alipokagua maendeleo ya ukarabati mkubwa wa uwanja wa Amaan, Mkoa wa Mjini Magharibi tarehe 24 Novemba 2023.

Aidha Rais Dk. Mwinyi amempongeza mkandarasi kampuni ya Orkun kwa kazi nzuri ya kuukarabati uwanja huo ambapo wametumia miezi sita tu.

Mkandarasi huyo ameahidi kuikabidhi Serikali uwanja huo mwishoni mwa mwezi wa Disemba mwaka huu.

IMG-20231124-WA0022.jpg
IMG-20231124-WA0026.jpg
IMG-20231124-WA0024.jpg
IMG-20231124-WA0025.jpg
IMG-20231124-WA0023.jpg
IMG-20231124-WA0021.jpg
IMG-20231124-WA0020.jpg
IMG-20231124-WA0027.jpg
 

Attachments

  • IMG-20231124-WA0020.jpg
    IMG-20231124-WA0020.jpg
    112.7 KB · Views: 1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12 zitafanyika katika uwanja wa Amaan.

Rais Dk. Mwinyi amesema hayo leo alipokagua maendeleo ya ukarabati mkubwa wa uwanja wa Amaan, Mkoa wa Mjini Magharibi tarehe 24 Novemba 2023.

Aidha Rais Dk. Mwinyi amempongeza mkandarasi kampuni ya Orkun kwa kazi nzuri ya kuukarabati uwanja huo ambapo wametumia miezi sita tu.

Mkandarasi huyo ameahidi kuikabidhi Serikali uwanja huo mwishoni mwa mwezi wa Disemba mwaka huu.

View attachment 2823424View attachment 2823425View attachment 2823426View attachment 2823427View attachment 2823428View attachment 2823429View attachment 2823430View attachment 2823431
CCM hawakuuona miaka yote hiyo!
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12 zitafanyika katika uwanja wa Amaan.

Rais Dk. Mwinyi amesema hayo leo alipokagua maendeleo ya ukarabati mkubwa wa uwanja wa Amaan, Mkoa wa Mjini Magharibi tarehe 24 Novemba 2023.

Aidha Rais Dk. Mwinyi amempongeza mkandarasi kampuni ya Orkun kwa kazi nzuri ya kuukarabati uwanja huo ambapo wametumia miezi sita tu.

Mkandarasi huyo ameahidi kuikabidhi Serikali uwanja huo mwishoni mwa mwezi wa Disemba mwaka huu.

View attachment 2823424View attachment 2823425View attachment 2823426View attachment 2823427View attachment 2823428View attachment 2823429View attachment 2823430View attachment 2823431
CCM hawakuuona miaka yote hiyo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom