Mazee
Senior Member
- Dec 6, 2007
- 128
- 24
Country
Tanzania
United States
Leader
President: Jakaya Kikwete
President: Barack Obama
Population
40,213,200
303,825,000
GDP per capita
$1,400 US
$48,000 US
Literacy Rate
69.4%
99%
Corruption Perception Index
3
7.3
Percentage of Women in Parliament
30.4%
16.6%
Source: Country Comparisons - Examine Similarities and Differences between any two countries
percentage of women in parliament in Kenya 9.8%
Anyway this is just to point out few but what does this reflect?Ni kweli Tanzania wanawake wamesoma sana kuliko USA au Kenya?Au wana uwezo mkubwa kiuongozi/Karama/Vipaji kulikowale wa USA.
Pia in USA house representatives number is fixed at 435 with a population of about 303,825,000 against 43million of Tanzania with 357 house representatives
Angalia hapo juu na hiyo tofauti ya GDP na literacy rate .
Jamani mimi sielewi where are heading to as a Nation...
In my opinion uchaguzi wa hawa Viongozi umekaa kisiasa zaidi na si kwa kuzingatia competency zao.Nachelea kuamini kuwa hii 35% ya women inachaguliwa kisiasa zaidi basi tu kutengeza Image flani ya Taifa na pia hii inaonesha ni jinsi gani sasa hata hawa viongozi wa jinsia ya kiume ambavyo wanaweza kuwa ovyo zaidi kwani misingi ya uteuzi wao pia ni questionable Raisi anajichagulia tu ovyo ovyo kudhihirisha hili angalia Kauli zao hawa watu Sijui Werema,Simba na viazi wengine.....kama hawa na wengine ambao wamejaa bungeni kule kiasi kwamba wakianza kuongea unajisikia aibu wewe mwenyewe na kustaajabu kama kweli hao ni wawakilishi wako kweli??
Sijui hiri rinchi rimerogwa.....
Tanzania
United States
Leader
President: Jakaya Kikwete
President: Barack Obama
Population
40,213,200
303,825,000
GDP per capita
$1,400 US
$48,000 US
Literacy Rate
69.4%
99%
Corruption Perception Index
3
7.3
Percentage of Women in Parliament
30.4%
16.6%
Source: Country Comparisons - Examine Similarities and Differences between any two countries
percentage of women in parliament in Kenya 9.8%
Anyway this is just to point out few but what does this reflect?Ni kweli Tanzania wanawake wamesoma sana kuliko USA au Kenya?Au wana uwezo mkubwa kiuongozi/Karama/Vipaji kulikowale wa USA.
Pia in USA house representatives number is fixed at 435 with a population of about 303,825,000 against 43million of Tanzania with 357 house representatives
Angalia hapo juu na hiyo tofauti ya GDP na literacy rate .
Jamani mimi sielewi where are heading to as a Nation...
In my opinion uchaguzi wa hawa Viongozi umekaa kisiasa zaidi na si kwa kuzingatia competency zao.Nachelea kuamini kuwa hii 35% ya women inachaguliwa kisiasa zaidi basi tu kutengeza Image flani ya Taifa na pia hii inaonesha ni jinsi gani sasa hata hawa viongozi wa jinsia ya kiume ambavyo wanaweza kuwa ovyo zaidi kwani misingi ya uteuzi wao pia ni questionable Raisi anajichagulia tu ovyo ovyo kudhihirisha hili angalia Kauli zao hawa watu Sijui Werema,Simba na viazi wengine.....kama hawa na wengine ambao wamejaa bungeni kule kiasi kwamba wakianza kuongea unajisikia aibu wewe mwenyewe na kustaajabu kama kweli hao ni wawakilishi wako kweli??
Sijui hiri rinchi rimerogwa.....