Meitinyiku L. Robinson
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 412
- 90
Kwanza nikiri humu ndani baadhu wameshachoshwa kujadili mambo ya EL et all na Dr. Slaa vile vile ila isiwe sababu ya mtu kubaki na kitu moyoni ilihali una kiamini kwangu mimi ni bora ukitoe hadharani watu wakejeli, wanune, wagombe ila ujumbe umefika kwa kawaida hakuna jukwaa gumu kama la Siasa popote pale.
Baada ya utangulizi huo nikiri kuwa kama si EL 2015 basi ni Dr. Slaa if at all watakubali na kupitishwa na vikao husika ndani ya Vyama vyao. Ila binafsi nimekuwa nikistaajabu sana juu ya kile kigezo kinachotumika kuonesha kuwa EL hawezi kuwa Rais wa Nchi eti kigezo chenyewe ni neno "fisadi" sifa zooooooooote anazo ila tatizo ni hilo moja tu! Bado sijapata mtu wa kuthibitisha pasipo shaka juu ya ufisadi huo wa EL kwangu zinaendelea kuwa ni tuhuma kama ambavyo Slaa na wengine wameku wakituhumiwa ktk mambo mbali mbali tuhuma ambazo zimewafanya watz kusahau hata ile Ibara ya 13 ya Katiba yetu, tuhuma ambazo wahusika hawako tayari kuzithibitisha au kuzikanusha ili mradi
Tu ziendelee kuwepo ili kuwekea dosari wengine.
Ila niseme vile vile kama EL hatachafuliwa leo ni nani basi atakayestahili kuchafuliwa badala yake manake ameshaonesha kuwa tishio kwa wenzie na ndiyo maana sishangai kutokuona ama Slaa au Mbowe akimtusi au Kuendelea kumtuhumu EL manake nao pia wanajua yeye EL anastahili kipi na ni kipi hakistahili na Slaa alishawahi kusema maneno flani pale NMC ila kwa kuwa Watz hawakutaka kumwelewa vyema wakadhani nia yake ni kumsafisha EL. Niendelee kusema tuhuma alizonazo EL hazitakaa kamwe zifanane na za Slaa japo wote vile vile wanaweza wasiwe wasafi kiasi hicho kubwa ikiwa ni kwa
Sababu nafasi alizowahi kuzishika EL haziwezi kumwacha bila kutuhumiwa.
EL amekuwa Waziri kwa kipindi kirefu na hatimaye PM nafasi ambazo Slaa hakuwahi kuzishika na kama angefanikiwa kuzishika basi asingekuwa na namna zaidi ya yeye pia kutuhumiwa kama ilivyo kwa EL. Ni sawa na kusema sifa nilizo nazo mimi leo ni tofauti sana na alizo nazo au atakazo kuwa nazo mwanangu......
Hivyo ili kutofautisha (uadilifu na usafi) kwangu Slaa nadhani Watz wana haki ya kuamini kuwa Slaa ni msafi manake ili nimwite mwadilifu kuna mengine yatahitaji kuthibitishwa manake uadilifu ni neno jingine zaidi. Sasa usafi huu amabo tunadhani Slaa anao ndio uanao declare null and void zile sifa ambazo EL anazo kubwa ikiwa uwajibikaji, utendaji na uwezo wake binafsi?? Leo Watz wanajiuliza ktk mgomo huu wa Madaktari hawapati picha kama EL angekuwa bado ni PM manake leo ungekuta tayari maamuzi yameshafanyika!!
Nchi hii ilipofikia sasa inahitaji mtu wa namna yake tupelekwe speed ili tufidie yale ambayo tumeshindwa kuyafikia kwa miaka 10 aliyokaa huyu anayetarajia kuondoka na baada ya hapo tuendelee na vipao mbele vingine, na wao wanajua bila EL aliye jasiri Nchi hii itayumba baadae na kwa kuwa sumu haijaribiwi kwa kuonjwa basi wao wajaribu tu kukosea katika kupitishwa mtu hapo ndipo option B ya kwangu na wengine itakapo chukua Nchi bila kutumia nguvu kubwa!!!!
Wengine wamebaki kuyaasa Makanisa eti wasikubali kutumika na hao wao wanaowaita mafisadi mi nadhani wabaki wakijua kuwa hata hayo makanisa nayo na hao wanaowaongoza ni watz na wenye akili timamu na ni wasomi wa ngazi mbali mbali hivyo wanajua mchele ni upi na chuya ni ipi hawangoji tena kuambiwa kamwe. Yafaa nao pia wakialikwa wachange na watulie si tena kutumia jukwaa la Kanisa kushambulia wengine manake hapo ndipo wanapoharibu na kuonekana wanafki.
Namweshimu sana Daktari na ataendelea kuwa option B yangu ila JF inajua, NEC inajua na Dunia inajua kuwa EL ni kifaa kingine........
Baada ya utangulizi huo nikiri kuwa kama si EL 2015 basi ni Dr. Slaa if at all watakubali na kupitishwa na vikao husika ndani ya Vyama vyao. Ila binafsi nimekuwa nikistaajabu sana juu ya kile kigezo kinachotumika kuonesha kuwa EL hawezi kuwa Rais wa Nchi eti kigezo chenyewe ni neno "fisadi" sifa zooooooooote anazo ila tatizo ni hilo moja tu! Bado sijapata mtu wa kuthibitisha pasipo shaka juu ya ufisadi huo wa EL kwangu zinaendelea kuwa ni tuhuma kama ambavyo Slaa na wengine wameku wakituhumiwa ktk mambo mbali mbali tuhuma ambazo zimewafanya watz kusahau hata ile Ibara ya 13 ya Katiba yetu, tuhuma ambazo wahusika hawako tayari kuzithibitisha au kuzikanusha ili mradi
Tu ziendelee kuwepo ili kuwekea dosari wengine.
Ila niseme vile vile kama EL hatachafuliwa leo ni nani basi atakayestahili kuchafuliwa badala yake manake ameshaonesha kuwa tishio kwa wenzie na ndiyo maana sishangai kutokuona ama Slaa au Mbowe akimtusi au Kuendelea kumtuhumu EL manake nao pia wanajua yeye EL anastahili kipi na ni kipi hakistahili na Slaa alishawahi kusema maneno flani pale NMC ila kwa kuwa Watz hawakutaka kumwelewa vyema wakadhani nia yake ni kumsafisha EL. Niendelee kusema tuhuma alizonazo EL hazitakaa kamwe zifanane na za Slaa japo wote vile vile wanaweza wasiwe wasafi kiasi hicho kubwa ikiwa ni kwa
Sababu nafasi alizowahi kuzishika EL haziwezi kumwacha bila kutuhumiwa.
EL amekuwa Waziri kwa kipindi kirefu na hatimaye PM nafasi ambazo Slaa hakuwahi kuzishika na kama angefanikiwa kuzishika basi asingekuwa na namna zaidi ya yeye pia kutuhumiwa kama ilivyo kwa EL. Ni sawa na kusema sifa nilizo nazo mimi leo ni tofauti sana na alizo nazo au atakazo kuwa nazo mwanangu......
Hivyo ili kutofautisha (uadilifu na usafi) kwangu Slaa nadhani Watz wana haki ya kuamini kuwa Slaa ni msafi manake ili nimwite mwadilifu kuna mengine yatahitaji kuthibitishwa manake uadilifu ni neno jingine zaidi. Sasa usafi huu amabo tunadhani Slaa anao ndio uanao declare null and void zile sifa ambazo EL anazo kubwa ikiwa uwajibikaji, utendaji na uwezo wake binafsi?? Leo Watz wanajiuliza ktk mgomo huu wa Madaktari hawapati picha kama EL angekuwa bado ni PM manake leo ungekuta tayari maamuzi yameshafanyika!!
Nchi hii ilipofikia sasa inahitaji mtu wa namna yake tupelekwe speed ili tufidie yale ambayo tumeshindwa kuyafikia kwa miaka 10 aliyokaa huyu anayetarajia kuondoka na baada ya hapo tuendelee na vipao mbele vingine, na wao wanajua bila EL aliye jasiri Nchi hii itayumba baadae na kwa kuwa sumu haijaribiwi kwa kuonjwa basi wao wajaribu tu kukosea katika kupitishwa mtu hapo ndipo option B ya kwangu na wengine itakapo chukua Nchi bila kutumia nguvu kubwa!!!!
Wengine wamebaki kuyaasa Makanisa eti wasikubali kutumika na hao wao wanaowaita mafisadi mi nadhani wabaki wakijua kuwa hata hayo makanisa nayo na hao wanaowaongoza ni watz na wenye akili timamu na ni wasomi wa ngazi mbali mbali hivyo wanajua mchele ni upi na chuya ni ipi hawangoji tena kuambiwa kamwe. Yafaa nao pia wakialikwa wachange na watulie si tena kutumia jukwaa la Kanisa kushambulia wengine manake hapo ndipo wanapoharibu na kuonekana wanafki.
Namweshimu sana Daktari na ataendelea kuwa option B yangu ila JF inajua, NEC inajua na Dunia inajua kuwa EL ni kifaa kingine........