KUMEKUA NA ONGEZEKO KUBWA LA KUZALIWA KWA WATOTO WENGI WA KIKE KULIKO WAKIUME. MOJA SABABU AMBAZO HAZIJATHITISHWA NA WATAALAMU NI KWAMBA, WANAUME WAVUTAO SIGARA KWA WINGI NI VIGUMU KWAO KUPATA MTOTO WA KIUME. SABABU YA PILI NI UMRI KATI YA MUME NA MKE, KWAMBA MUME ANAPOKUWA NA UMRI MDOGO KULIKO MKE AU WANALINGANA UMRI BASI KUPATA MTOTO WA KIUME NI SHIDA KWAO. Nami naamini hizo sababu kwa kuwa ninajirani yangu ni mvuta sigara mkubwa na ana watoto 4 wote wa kike na amekuwa akitafuta wa kike ila ameshidwa. kwa suala la umri pia naamini kwa kuangalia ktk ukoo wangu, KWAMBA; BABA YAKE BABU YANGU ALIMZIDI MKE WAKE MIAKA 12 NA WAKAPATA WATOTO 7, WAKIUME 6 NA WAKIKE 1, BABU YANGU MZAA BABA NAYE AMEMZIDI BIBI KWA MIAKA 20, NAO WAMEPATA WATOTO 7 WAKIUME 6 WA KIKE 1. BABA YANGU AMEMZIDI MAMA KWA MIAKA 10 TUMEZALIWA WATOTO 3 NA WOTE WA KIUME. MIMI MWENYEWE KTK HARAKATI ZA USHAROBARO, NINA WATOTO 2 WA MAMA TOFAUTI NA WOTE NI WAKIUME. NA SISI SOTE KTK UKOO WETU HAKUNA ANAYEVUTA SIGARA. HEBU NAWE NIAMBIE KTK UTAFITI WAKO KWA WATU UNAOWAFAHAMU JE HILI SUALA LINA UKWELI NDANI YAKE?