Bashe , "Amesema 'hataki wapinzani watoke ndani ya chama cha mapinduzi'...serikali ijibu kwann inangangania hoja ya richmond na dowans wakati kuna watu hawajui maana ya umeme na asilimia kubwa ya wadogo zetu wamefeli NECTA
Hawana jipya leo wanahaha baada ya kumtukana slaa na kuona wanazidi kumpa umaarufu sasa wanataka kuteka mijadala yetu. Hivi riz atoke ampinge babake aliyekuwa anampigania kwa nin asingempinga toka kampeni. Hawana lolote. Mafisadi hao wanatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa
UVCCM hivi sasa wanakutana na wanafunzi wa UDSM ktk ukumbi wa Vijana Social Hall Kinondoni na hapo Riz1, Bashe na Shigela wametoa matamko mazito dhidi ya serikali. Wamerudia kama yale ya tamko lao, Bashe kazungumzia Dowans
Hawadhauliki ila watu wanajiuliza inakuwaje saizi Ridhione JK amekuwa mwanaharakati!... msiwadharau hao wanajua wanachofanya tena wanayo pesa ya kuchezea, mkijashtuka vijana wengi watakuwa wamefuata mkumbo kwa ajili tu ya bakhshishi, ... kumbukA mkono mtupu haulambwi!
Hawadhauliki ila watu wanajiuliza inakuwaje saizi Ridhione JK amekuwa mwanaharakati!