Umoja wa vijana wa ccm mkoa wa mara umekitaka chama hicho kuitangaza kampuni ya dowans kua ni kampuni hewa kwa sababu kitendo cha ccm kukaa kimya kunazidi kukiweka chama hicho mahali pabaya na kukidhoofisha. SOURCE: ITV NEWS
Umoja wa vijana wa ccm mkoa wa mara umekitaka chama cha mapinduzi kuitamka kampuni ya dowans kua ni kampuni hewa kwa kua ilirithi mikoba ya kampuni hewa. Aidha umoja huo umesema kitendo cha ccm kukaa kimya kunakidhoofisha chama na vijana hao wasingependa ccm ife mikononi mwao.
Kuna mikoa inanigusa sana, Arusha, Mwanza, Mbeya, Kagera,Kigoma,Mara, Kilimanjaro(sio mwanga au Same). Mikoa hii ina mwamko mzuri sana wa kitaifa na haitabiriki kiurahisi.
Umoja wa vijana wa ccm mkoa wa mara umekitaka chama hicho kuitangaza kampuni ya dowans kua ni kampuni hewa kwa sababu kitendo cha ccm kukaa kimya kunazidi kukiweka chama hicho mahali pabaya na kukidhoofisha. SOURCE: ITV NEWS
Hii ni changamoto kubwa kwa CCM na Serikali yake. Kwa kifupi CCM haiwezi kutoa hilo tamko kwa kuwa Kiongozi mkuu wa Serikali ndio mwenyekiti wa CCM Taifa, sasa atatoaje tamko linalompinga mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.