Ekelege hahahahahah
I've always suspected hawa watu. Miaka miwili iliyopita nilikwenda kununua gari London. Katika mpango wa kusafirisha lile gari kuja Bongo ndugu zangu wakaniambia kamwe usiwatumie hao jamaa wa Serengeti kwani wao ni dizani flani. Baada ya hapo kila mmoja aliyekuwa pale akatoa yake ya moyoni dhidi ya hawa jamaa. Anyways, time will tell maana chenye mwanzo huwa na mwisho.
CHRIS LUKOSI WACHA UTOTO UNAJIFANYA KUTUMIA JINA LA CHILISOSI WAKATI NI WEWE MWENYEWE LUKOSI,POLE SANA ENDELEZA BIASHARA YAKO YA UNGA UR THE NEXT:lol: