Uturuki: Uchaguzi mkuu kurudiwa Mei 28, 2023 baada ya kukosekana mshindi wa moja kwa moja

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Sep 25, 2018
1,114
3,768
Uchaguzi mkuu nchini Uturuki utarudiwa mwezi may 28 kati ya kiongozi wa vyama vya upinzani KEMAL na Rais Erdogan.

Katika round ya kwanza, Erdogan amepata 49.3% ya kura zote huku muungano wa Vyama vya upinzani ukipata 45.6% huku kiongozi wa chama kidogo cha upinzani akipata 5.1%.

Mshindi wa tatu ameapa kuungana na Upinzani ili kumshinda Erdogan. Endapo mshindi wa 3 na wa 2 wa vyama vya upinzani wataungana basi Utawala wa Erdogan utakuwa umefikia kikomo.

Recep Tayyip Erdogan remains locked in a tight race against his chief challenger Kemal Kilicdaroglu. Turkey run-off likely as final vote counts show Erdogan leading
 
Hawa wapinzani walivyo wa ajabu, wanaweza wakaaungana na rais anaemaliza muda wake na kuendeleza hali ya ukandamizaji ambao raia walio wengi wanameukataa utawala wa Erdogan, Wapinzani wakiunganisha nguvu zao wote wana uwezo wa kuchukua serikali kwa 53%.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Ukandamizaji upi!?..raia walio wengi wangeukataa utawala wa edogan angekuwa kashindwa,lakini hapo anaongoza kwa kura nyingi
 
Uchaguzi mkuu nchini Uturuki utarudiwa mwezi may 28 kati ya kiongozi wa vyama vya upinzani KEMAL na Rais Erdogan.

Katika round ya kwanza, Erdogan amepata 49.3% ya kura zote huku muungano wa Vyama vya upinzani ukipata 45.6% huku kiongozi wa chama kidogo cha upinzani akipata 5.1%.

Mshindi wa tatu ameapa kuungana na Upinzani ili kumshinda Erdogan. Endapo mshindi wa 3 na wa 2 wa vyama vya upinzani wataungana basi Utawala wa Erdogan utakuwa umefikia kikomo.

Recep Tayyip Erdogan remains locked in a tight race against his chief challenger Kemal Kilicdaroglu. Turkey run-off likely as final vote counts show Erdogan leading
Wewe Erdogan ana akili juzi kaongeza mshahara 45% sasa ni vile atatafuta alternative nyengine soon kuweka mambo sawa yule mzee anajua technique watu wanataka maisha tu sio huko kwenu liwalo na liwe
 
Wewe Erdogan ana akili juzi kaongeza mshahara 45% sasa ni vile atatafuta alternative nyengine soon kuweka mambo sawa yule mzee anajua technique watu wanataka maisha tu sio huko kwenu liwalo na liwe
Kule watu sio matahira kama Africa. Kwani hayo maisha wasingepewa hata na upinzani?
 
Chama Cha Erdogan AK Party kimepata wingi wa viti bungeni. AK imepata Viti 266 huku CHD Cha KEMAL wa Upinzani wakipata Viti 166.

Hata hivyo,Chama Cha AK Cha Erdogan kimepungukiwa Viti ukilinganisha na uchaguzi wa 2018 ambapo Chama chake kilipata Viti 295 na Upinzani 135.
 
Hao wapinzani hata wakiungana hawatofua dafu.....mark my words.

Kupata wabunge wengi kutaendelea beba chama chake kwenye uchaguzi wa marudio.
 
Kumtoa Rais ailiye madarakani kwa mazingira kama haya ni ngumu sana, ingwa ukiangalia kwa jicho LA tatu ni kwamba Turkey imegawanyika .Binafsi ushindi Wa design hii naona ili kuunganisha nchi ni bora kutengeneza serikali ya mseto.
 
Erdogan atashinda iwe kwa kuungwa mkono au bila kuungwa mkono na aliyepata asilimia 5 kwa sababu sera zao zinakaribiana. Ili muungano wa vyama vya upinzani ushinde unahitaji kupata hizo asilimia 5 zote kitu ambacho ni kigumu. Erdogan akipata asilimia 0.9 tu anakuwa mshindi
 
Uchaguzi mkuu nchini Uturuki utarudiwa mwezi may 28 kati ya kiongozi wa vyama vya upinzani KEMAL na Rais Erdogan.

Katika round ya kwanza, Erdogan amepata 49.3% ya kura zote huku muungano wa Vyama vya upinzani ukipata 45.6% huku kiongozi wa chama kidogo cha upinzani akipata 5.1%.

Mshindi wa tatu ameapa kuungana na Upinzani ili kumshinda Erdogan. Endapo mshindi wa 3 na wa 2 wa vyama vya upinzani wataungana basi Utawala wa Erdogan utakuwa umefikia kikomo.

Recep Tayyip Erdogan remains locked in a tight race against his chief challenger Kemal Kilicdaroglu. Turkey run-off likely as final vote counts show Erdogan leading
AK wameshinda wingi wa vitu Bungeni, automatically Watu watamchagua Erdogan Ili Serikali iende vizuri.

Wapinzani wameshindwa kumiliki Bunge,akiwa Rais atawezaje Kuendesha Serikali?
 
W
Hawa wapinzani walivyo wa ajabu, wanaweza wakaaungana na rais anaemaliza muda wake na kuendeleza hali ya ukandamizaji ambao raia walio wengi wanameukataa utawala wa Erdogan, Wapinzani wakiunganisha nguvu zao wote wana uwezo wa kuchukua serikali kwa 53%.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Wanaukataa utawala wa Edogan ni Wamarekani ambao walifanya kila namna kumpindua
 
Back
Top Bottom