mr.sylvestre
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 252
- 298
Wana JF ningependa kujua kuhusu madhara yatokanayo na uvaaji wa miwani kwani nimekuwa nikisikia kuwa kuna madhara,na kama yapo madhara yatokanayo na uvaaji wa miwani(miwani ya macho) kuna njia ipi mbadala itakayo mfanya huyu mgonjwa wa macho apate nafuu bila msaada wa miwani
NOTE:Niandikaye hapa ni mmoja wa watumiaji wa hii miwani ingawa athari sijaziona mpaka sasa.
NOTE:Niandikaye hapa ni mmoja wa watumiaji wa hii miwani ingawa athari sijaziona mpaka sasa.