mpasta
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 917
- 1,998
- Thread starter
- #21
Hivi ya kusimulia Movie nimepata ujiko sana Primary, kuna.Wahindi waliweka bili ya maziwa HOME sasa ikifika Jioni inabidi tuwapelekee maziwa majumbani kwao, basi tunagombea na Mabroo zangu kupeleka maziwa,ukifika unakaa sebuleni unacheki MOVIE kwenye Runinga,kesho ukifika SHULE wanafunzi wanakuzunguka unawasimuliaEnzi hizo TV mnaangalia wikiend kwenye Banda la video tena inatoka mjini,Leo TV kila nyumba
Kuna siku mnakaa mnaamua kuhadithiana muvi za kina anord ya Jeni au komando kipensi,au jet li na maiko(tai chi ) alafu msioiona mnakuwa makini kusikiliza..leo nikienda Kwa bro watoto wake wakiniona wanalilia niwape simu wacheze gemu,dah namaind sn
Ukiwa na gazeti la sani unaenda nalo skuli Kisha anapewa mtu mmoja anayesoma vizuri anawasomea huku mmemzunguka..enzi hizo kina kipepe,sokomoko,mapung'o,ndumilakuwili,madenge wanatamba na wengi wetu hizi katuni tukidhani ni watu halisi na wanaishi dar